changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Kiwango cha Yanga kimebezwa humu kwa maneno mengi mno mara bahasha mara Tp Mazembe na Real Bamako ni timu mbovu subirini muone kitakachowakuta kwa Monastir. Leo ndio siku yenu mliyotaka kujua mbivu na mbichi, nadhani mmepata jibu. Lile shati la jana lililokaa golini laiti lingekuwepo leo sijui ingekuaje