Pamoja na Kocha,. Tatizo kubwa la timu yetu, ni viungo wa kati, Mzamiru na Kanoute wanapambana lakini uwezo wao unatia mashaka!
Tatizo hili ni la miaka misimu mitatu Sasa , wanao sajili wameshindwa kulitatua!
Tumesajili washambuliaji wengi kwingine tukasahau!
Timu Bora inajengwa na viungo na beki line!
Mshambuliaji anaweza kuwa Moja
au