Lile shindano la selebuka limeishia wapi?

Lile shindano la selebuka limeishia wapi?

Bongemzito

Senior Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
162
Reaction score
19
Mimi napata kigugumizi juu ya mwenendo wa wasanii wetu,inakuwaje shindano linaanza watu wanajipanga kila siku wanacheza na jasho linawatoka,tena ukiangalia wengi wao ni maarufu sana TZ.

Inamaana kulikuwa hakuna mkataba,ivi wasanii mtaonewa mpaka lini jamani jueni kudai haki zenu msing'ae macho tu.
 
Back
Top Bottom