Lilikuwa tukio la ajabu.

Lilikuwa tukio la ajabu.

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Nakumbuka tulikwa kwenye mkesha wa mwaka mpya miaka kadhaa iliyopita,
Nilikuwa mimi na rafiki zangu wanne, Tulikuwa tunatembea huku tunaimba nyimbo za mwaka mpya,
Ghafla tukaona mtu akiwa juu ya mnyama sijui alikuwa mnyama gani yule, alikuwa kwenye spidi kali mno,
alipotufikia alishika breki kali na kugeuka alipotoka, lilikuwa tukio la ghafla bin vuup tulishtuka sana,
Tukabaki tumeduwaa, Mwisho tukaanza kucheka tukaendelea na shamrashamra za kuupokea mwaka.
Kweli dunia ina mambo.
 
Screenshot_20230626-224728.jpg
 
Nakumbuka tulikwa kwenye mkesha wa mwaka mpya miaka kadhaa iliyopita,
Nilikuwa mimi na rafiki zangu wanne, Tulikuwa tunatembea huku tunaimba nyimbo za mwaka mpya,
Ghafla tukaona mtu akiwa juu ya mnyama sijui alikuwa mnyama gani yule, alikuwa kwenye spidi kali mno,
alipotufikia alishika breki kali na kugeuka alipotoka, lilikuwa tukio la ghafla bin vuup tulishtuka sana,
Tukabaki tumeduwaa, Mwisho tukaanza kucheka tukaendelea na shamrashamra za kuupokea mwaka.
Kweli dunia ina mambo.
Sema ukweli kwamba kila mtu alitafuta njia yake
 
Nakumbuka tulikwa kwenye mkesha wa mwaka mpya miaka kadhaa iliyopita,
Nilikuwa mimi na rafiki zangu wanne, Tulikuwa tunatembea huku tunaimba nyimbo za mwaka mpya,
Ghafla tukaona mtu akiwa juu ya mnyama sijui alikuwa mnyama gani yule, alikuwa kwenye spidi kali mno,
alipotufikia alishika breki kali na kugeuka alipotoka, lilikuwa tukio la ghafla bin vuup tulishtuka sana,
Tukabaki tumeduwaa, Mwisho tukaanza kucheka tukaendelea na shamrashamra za kuupokea mwaka.
Kweli dunia ina mambo.
Itakuwa mlivuta bangi nyingi sana siku hiyo
 
Back
Top Bottom