Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
Kitendo cha aliyekuwa waziri wa mali ya sili na utalii kukubali samaki waliokisiwa kuwa na mionzi ya kemikali kutoka japan na kuwaingiza nchini waliwe na wananchi wa tanzania, ni cha kinyama na kiliwa sio cha kibinadamu kabisaa.
Ingawa samaki hao walikuja onekana eti hawana hiyo mionzi, lakini NChi za Ulaya na marekani na midlle east zote ziliwakataa kwa sababu ya uzarendo wao wa kuwajali raia zao. Haibu ya nchi inakuja pale serikali ya japan ilipogundua kuwa, ikitoa hongo kwa baadhi ya maofisa wa kitanzaniatuu, samaki hao watapata soko humu nchini.
Samaki waliingizwa imya kimya na kupelekwa kwa kasi mkoani morogoro na kuanzwa kuuzwa kwa raia mara moja. Yaani kitendo hicho ni cha aaibu sana na kinaonesha sisi raia wa TZ hatuna mlezi kabisaa.
sishangai kuona serikali haifanyi lolote kupambana na bidhaa feki mitaani. Yaani kutotujali raia ni kitendo cha jadi na wala sio cha kushitukizia.
Ingawa samaki hao walikuja onekana eti hawana hiyo mionzi, lakini NChi za Ulaya na marekani na midlle east zote ziliwakataa kwa sababu ya uzarendo wao wa kuwajali raia zao. Haibu ya nchi inakuja pale serikali ya japan ilipogundua kuwa, ikitoa hongo kwa baadhi ya maofisa wa kitanzaniatuu, samaki hao watapata soko humu nchini.
Samaki waliingizwa imya kimya na kupelekwa kwa kasi mkoani morogoro na kuanzwa kuuzwa kwa raia mara moja. Yaani kitendo hicho ni cha aaibu sana na kinaonesha sisi raia wa TZ hatuna mlezi kabisaa.
sishangai kuona serikali haifanyi lolote kupambana na bidhaa feki mitaani. Yaani kutotujali raia ni kitendo cha jadi na wala sio cha kushitukizia.