Sio kweli kakaLakini kasema kweli.....Kujistiri mwili mzima ni tamaduni za kigeni.
Huyu nae ni kilaza tu,maisha ya kuvaa majani,kutembea umbali mrefu kwa miguu,kuishi kwenye nyumba za nyasi zisizo na huduma kama Mani na umeme,tohara bila ganzi,sio asili ya muafrika,zile zilikuwa zama za mawe,teknolojia ilikuwa bado haijafika huku kwetu,hata hao wazungu,kabla ya teknolojia ya kutengeneza nguo,haijavumbuliwa,nao walivaa mavazi kama sisi,Msanii Lina alikuwa akihojiwa FNL ya EATV na alipoulizwa swali ni kwa nini ametupia picha akiwa amevaa hivyo alisema sio yeye wa kwanza kufanya hivyo kuna watu kibao wanafanya na watu wanawachukulia poa
Alipoambiwa sio utamaduni wetu alisema waafrika asili yao ni kuvaa majani na kujifunika sehemu ya mbele tu kwa hiyo hata kuvaa nguo full ni utamaduni wa kizungu
mkuu hii ni kweli yaani wafrica tunajua kuliko waliotufanya kujua tunayoyajua....zaidi nadhani ni ile kitu wanaiita upashukuna=>umbea level ya juu kabsaaa.Kasema kweli Waafrica wanajua sana, wamefundiswa kuvaa sasa wanajua kuvaa kuliko walio wafundisha, wameletewa dini sasa wanataka kwenda kuwaubili Wapalestina na Waizirael. Kinacho wasumbua ni Usisi. Sisi wale, wale sisi
Chura HULIA MBWATAsiku zote Masikini akipata
na masabuli hujibu "pwaaaaa..."Chura HULIA MBWATA
Linah anahis yupo sahihi na amejenga hoja kabisa ETI WALIVAA MAJANI.na masabuli hujibu "pwaaaaa..."
Haya avae majani sasa.
Ukahaba tu umemjaa
Atulize mtumbo huo ,akishusha aendelee na umala.ya kazi kuwajaza watoto waliotumboni laana tu.
Hapo keshokutwa tu utasikia baby shower sijui...
Mungu aniepushe na huo wendawazimu