Lina awajibu waliomtukana na picha za nusu uchi, asema waafrika asili yetu ni kuvaa majani

Lina awajibu waliomtukana na picha za nusu uchi, asema waafrika asili yetu ni kuvaa majani

Kingezo cha Kuhojiwa na tv media ni kujua kusoma na kuandika...
 
Kasema kweli Waafrica wanajua sana, wamefundiswa kuvaa sasa wanajua kuvaa kuliko walio wafundisha, wameletewa dini sasa wanataka kwenda kuwaubili Wapalestina na Waizirael. Kinacho wasumbua ni Usisi. Sisi wale, wale sisi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
'Nimezaliwa familia ya watu wenye maadili ya dini,hata napoenda nyumbani huwa navaa Nguo ndefu'
Mwisho wa kunukuu
 
Msanii Lina alikuwa akihojiwa FNL ya EATV na alipoulizwa swali ni kwa nini ametupia picha akiwa amevaa hivyo alisema sio yeye wa kwanza kufanya hivyo kuna watu kibao wanafanya na watu wanawachukulia poa
Alipoambiwa sio utamaduni wetu alisema waafrika asili yao ni kuvaa majani na kujifunika sehemu ya mbele tu kwa hiyo hata kuvaa nguo full ni utamaduni wa kizungu


Huyu nae ni kilaza tu,maisha ya kuvaa majani,kutembea umbali mrefu kwa miguu,kuishi kwenye nyumba za nyasi zisizo na huduma kama Mani na umeme,tohara bila ganzi,sio asili ya muafrika,zile zilikuwa zama za mawe,teknolojia ilikuwa bado haijafika huku kwetu,hata hao wazungu,kabla ya teknolojia ya kutengeneza nguo,haijavumbuliwa,nao walivaa mavazi kama sisi,
 
Mwacheni jamani....Mtasababisha atamke zaidi ya hayo,wako wawili Hapo ujue.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sasa kwani unaposema utamaduni wa mwafrika unamaanisha nini? Angalia wamasai, angalia wasandawe, wahadzabe na makabila mengine kama hayo utaelewa Linah anamaanisha nini
 
Kasema kweli Waafrica wanajua sana, wamefundiswa kuvaa sasa wanajua kuvaa kuliko walio wafundisha, wameletewa dini sasa wanataka kwenda kuwaubili Wapalestina na Waizirael. Kinacho wasumbua ni Usisi. Sisi wale, wale sisi
mkuu hii ni kweli yaani wafrica tunajua kuliko waliotufanya kujua tunayoyajua....zaidi nadhani ni ile kitu wanaiita upashukuna=>umbea level ya juu kabsaaa.
 
picha tafadhali...ya hicho kinguo ili nione km ni tamaduni zetu ama la!
 
Haya avae majani sasa.
Ukahaba tu umemjaa
Atulize mtumbo huo ,akishusha aendelee na umala.ya kazi kuwajaza watoto waliotumboni laana tu.
Hapo keshokutwa tu utasikia baby shower sijui...

Mungu aniepushe na huo wendawazimu

That is tooooo harsh
 
Huyu mkinga ndio wale wale wa uongooo kama wa huku makete badilika mama
 
Avae basi majani ili aitangaze vyema afrika yake
 
Asili yetu kuwa uchi, jing a kabisa Linah, umewahi ona mtu kazaliwa kavaa majani?
 
Back
Top Bottom