Lina Sanga na Wema Sepetu kwenye mtafaruku kisa mwanaume


At least leo wew mrembo umeongea vizuri

Any way wema hana akili..
 
huyo Luis ni Modo eti niliona anapiga picha na visurual flan hivii

Atakuwa amekuja kutafuta fans wa Tanzania huyo ajulikane kukuche

Hebu fungukeni vizuri basi na wenzenu tuelewe huko insta nimepahama siku hizi.
Huyo Luis ni nani? Na ni raia wa nchi gani?
Hapo hotelini walienda fanya nini na madame?
 
Hebu fungukeni vizuri basi na wenzenu tuelewe huko insta nimepahama siku hizi.
Huyo Luis ni nani? Na ni raia wa nchi gani?
Hapo hotelini walienda fanya nini na madame?

Yaani hiyo hotelini ni baada ya siku ya insta pati ya wikiendi iliyopita.

Soma kwa link hii maana wamecopy huko wadau naogopa hata kurusha ma screen shot yaliyojaa maneno machafu humu, watu wanavyompa points ila wanatukanaaa khaaaaaa

http://www.globalpublishers.info/m/blogpost?id=5398006:BlogPost:4005259
 
Duu lakini naniliii... K.. ya mama ubaya inatumika jamani..!!
Yani ungekuta ni kitu kama chaki ya kuandikia ubaoni ivi, labda saa hizi ndio mwalimu anaandikia mpaka na vidole.
 
Na hii analalamika malipo imetoka insta
 

Attachments

  • 1433492717152.jpg
    48.3 KB · Views: 510
nifah naona hii ndio inauafazali ameandika who_iz_thee_boss
 

Attachments

  • 1433493129024.jpg
    65.2 KB · Views: 539
  • 1433493139114.jpg
    54 KB · Views: 511
  • 1433493148033.jpg
    51.7 KB · Views: 507
Last edited by a moderator:
Na hiyo ya w.s mwenyewe
 

Attachments

  • 1433493302439.jpg
    30.4 KB · Views: 481
Hivi bado kuna watu wazima na akili zao wanafuatilia haya mambo ya wasanii wabongo ambao hawana kitu kichwani zaidi ya mapenzi tu..huyu kachukua bwana was huyu Mara huyu cjui kafanya hiki.....kweli MNA muda wa kuchezea
 
nifah naona hii ndio inauafazali ameandika who_iz_thee_boss

Huyu inabid nikamfollow insta kwa kweli, khaa nimeshindwa tabia, kiboko ya team mbwa mwitu, huyu jeshi la mtu mmoja, ngoja nikaunganishe nguvu
 
Last edited by a moderator:
Huyu inabid nikamfollow insta kwa kweli, khaa nimeshindwa tabia, kiboko ya team mbwa mwitu, huyu jeshi la mtu mmoja, ngoja nikaunganishe nguvu

Walimshatikiaga acc yake ikafungwa ndio nimekuta juzi amesharudi tena.
 
Hivi bado kuna watu wazima na akili zao wanafuatilia haya mambo ya wasanii wabongo ambao hawana kitu kichwani zaidi ya mapenzi tu..huyu kachukua bwana was huyu Mara huyu cjui kafanya hiki.....kweli MNA muda wa kuchezea

Mbona umesoma na kupata muda wa kukomenti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…