Na mzaramoAngelala na nani labda
wacha mi niwe na wachochosha tuKIKI? Habari hii imeandikwa kwa urahisi sana kwenye gazeti la udaku kwamba Msanii Linah amekiri taarifa za yeye kuonekana akiwa na msanii wa Nigeria Wizkid katika Hoteli moja maarufu hapa mjini.
Si kuonekana tu, imeelezwa kuwa Linah alipoulizwa kuwa amelala nae kwa maana ya 'kula uroda' alithibitisha kuwa ni kweli na kuongeza kuwa yeye na Wizkid wana mipango ya muda mrefu tu..
Mmh!
================
Linah alala na Wizkid hotelini
Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka.
Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa huyo alilala hotelini tena kitanda kimoja na Mnigeria huyo.
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’.
Kikieleza kwa kujiamini, kiliweka wazi kuwa Linah alilala kitanda kimoja na staa huyo kwenye hoteli moja iliyopo Masaki, Dar, baada ya msanii huyo kutua Bongo kwa ajili ya kufanya makamuzi kwenye moja ya shoo zake alizokuwa ameletwa na promota King Solomon.
“Linah alilala na Wizkid, alikaa naye hadi siku anaondoka kulelekea Nigeria, na nikwambie ukweli uliyojificha ni kwamba, Linah kumbe ni siku kibao alikuwa akiwasilina na Wizkid kupitia mtandao wa Insta Direct, lakini hawakuwahi kuonana ila nafasi ya kuonana na kulala pamoja ilikamilika baada ya Wizkid kuja Bongo,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kumwagiwa ishu hiyo, gazeti hili ‘lilicheki’ na Linah ambaye alikiri ‘kubanjuka’ na Wizkid huku akidai kwamba kuna mtu alifuta kila kitu kwenye simu yake hasa kilichohusiana na Wizkid wakati yeye alikuwa na mipango mingi naye.
Alisema kitendo alichofanyiwa na mtu huyo ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake kimemhuzunisha mno kwani ndoto zake za kufanya ngoma na staa huyo zimeyeyuka.
GPL
hivi kuna mwanamke wa kihehe/kibena ambae ni mzuri?huyu Linah kila akijitahidi kuwa mzuri inashindikana sijui tatizo nini? maana kajitahidi kuvaa viguo vifupi wee wapii watu hawajastuka sasa naona anakuja na style ya kujibinua lkn napo wapii...
Alaaaa,kwani kale kabinti ni kabaya jamaniHell no,Wiz is too handsome na classic kulala na Linah...
Haiwezekani.
series episodeKIKI? Habari hii imeandikwa kwa urahisi sana kwenye gazeti la udaku kwamba Msanii Linah amekiri taarifa za yeye kuonekana akiwa na msanii wa Nigeria Wizkid katika Hoteli moja maarufu hapa mjini.
Si kuonekana tu, imeelezwa kuwa Linah alipoulizwa kuwa amelala nae kwa maana ya 'kula uroda' alithibitisha kuwa ni kweli na kuongeza kuwa yeye na Wizkid wana mipango ya muda mrefu tu..
Mmh!
================
Linah alala na Wizkid hotelini
Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka.
Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa huyo alilala hotelini tena kitanda kimoja na Mnigeria huyo.
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’.
Kikieleza kwa kujiamini, kiliweka wazi kuwa Linah alilala kitanda kimoja na staa huyo kwenye hoteli moja iliyopo Masaki, Dar, baada ya msanii huyo kutua Bongo kwa ajili ya kufanya makamuzi kwenye moja ya shoo zake alizokuwa ameletwa na promota King Solomon.
“Linah alilala na Wizkid, alikaa naye hadi siku anaondoka kulelekea Nigeria, na nikwambie ukweli uliyojificha ni kwamba, Linah kumbe ni siku kibao alikuwa akiwasilina na Wizkid kupitia mtandao wa Insta Direct, lakini hawakuwahi kuonana ila nafasi ya kuonana na kulala pamoja ilikamilika baada ya Wizkid kuja Bongo,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kumwagiwa ishu hiyo, gazeti hili ‘lilicheki’ na Linah ambaye alikiri ‘kubanjuka’ na Wizkid huku akidai kwamba kuna mtu alifuta kila kitu kwenye simu yake hasa kilichohusiana na Wizkid wakati yeye alikuwa na mipango mingi naye.
Alisema kitendo alichofanyiwa na mtu huyo ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake kimemhuzunisha mno kwani ndoto zake za kufanya ngoma na staa huyo zimeyeyuka.
GPL
UMEJUAJE?Uzuri ni mwamba linah hana ngoma.
Hahah Kaboom nlikuambia mimi kule kwenye ile thread hawa wanatafunwa tu na hakuna cha sijui millioni 30 ya kolaboTeh teh..@UncleBen BADILI TABIA Kumbe watu tunda walishakula..Na hakuna collabo wala nn..
Mwongo huyo mtoto ,hiyo insta direct aliyokua anatumia kuwasiliana nae mwanzo kwanini asitumie sasa hivi ?? Nimeamini haya maneno watch the company you keep ,anashinda na kina Masogange ataacha kuuza Nyapu ,au sijui kuwagombania ma star ??Na kutudhihirishia kuwa anajipendekeza kwa star anadai kusikitishwa na kufutwa kwa vitu kwenye simu yake. Sasa kama mtu una mipango naye ni lazima hata yeye awe anawasiliana na wewe. kwa hiyo kufutwa kwa hivyo vitu wala haliwezi kuwa tatizo kwani mawasiliano si yanaendelea kuwepo tu.