Linah akiri 'kubanjuka' na Wizkid hotelini

Linah akiri 'kubanjuka' na Wizkid hotelini

Anafanana na mama matukio a.k.a tiba,ana wa tibaijuka,mi nikimuona tu mama dili namfananisha sana na lina kweli duniani wawiliwawili.
 
Kwa hiyo anataka kunihakikishia kwamba atazaa Gold au ikishindikana kabisa Tanzanite?
 
Na akome ndo aisome namba kwa kumtosa amini hiyo ndo rahana inazidi kumtafuna
 
Naona sasa hivi wasanii kujizushia kashfa ndio deal itakua anatoa single wiki hii
 
Ama kweli hii ni 'kiki' kama neno la mwanzoni mwa habari, ndo naanza kumsikia bongo celeb wa kwanza kukiri kufanya mapenzi na mtu flani.
Nimeukumbuka wimbo wa 'Nitoke vipi' wa Bwana Misosi.
 
KIKI? Habari hii imeandikwa kwa urahisi sana kwenye gazeti la udaku kwamba Msanii Linah amekiri taarifa za yeye kuonekana akiwa na msanii wa Nigeria Wizkid katika Hoteli moja maarufu hapa mjini.

Si kuonekana tu, imeelezwa kuwa Linah alipoulizwa kuwa amelala nae kwa maana ya 'kula uroda' alithibitisha kuwa ni kweli na kuongeza kuwa yeye na Wizkid wana mipango ya muda mrefu tu..

Mmh!

================

Linah alala na Wizkid hotelini

12534382_1290457537638479_1676532643_n.jpg


Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka.

Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa huyo alilala hotelini tena kitanda kimoja na Mnigeria huyo.

Wizkid1.jpg

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’.

Kikieleza kwa kujiamini, kiliweka wazi kuwa Linah alilala kitanda kimoja na staa huyo kwenye hoteli moja iliyopo Masaki, Dar, baada ya msanii huyo kutua Bongo kwa ajili ya kufanya makamuzi kwenye moja ya shoo zake alizokuwa ameletwa na promota King Solomon.

“Linah alilala na Wizkid, alikaa naye hadi siku anaondoka kulelekea Nigeria, na nikwambie ukweli uliyojificha ni kwamba, Linah kumbe ni siku kibao alikuwa akiwasilina na Wizkid kupitia mtandao wa Insta Direct, lakini hawakuwahi kuonana ila nafasi ya kuonana na kulala pamoja ilikamilika baada ya Wizkid kuja Bongo,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kumwagiwa ishu hiyo, gazeti hili ‘lilicheki’ na Linah ambaye alikiri ‘kubanjuka’ na Wizkid huku akidai kwamba kuna mtu alifuta kila kitu kwenye simu yake hasa kilichohusiana na Wizkid wakati yeye alikuwa na mipango mingi naye.

Alisema kitendo alichofanyiwa na mtu huyo ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake kimemhuzunisha mno kwani ndoto zake za kufanya ngoma na staa huyo zimeyeyuka.

GPL
wacha mi niwe na wachochosha tu
 
huyu Linah kila akijitahidi kuwa mzuri inashindikana sijui tatizo nini? maana kajitahidi kuvaa viguo vifupi wee wapii watu hawajastuka sasa naona anakuja na style ya kujibinua lkn napo wapii...
hivi kuna mwanamke wa kihehe/kibena ambae ni mzuri?
 
yule bugeme ndugu wa mrs simba vipi alifunua akasepa mkome kujipendekeza mtu akijita tu tajir mna mdandia kumbe tajir wa maneno sio pesa mganda kaubunyua wee kasepa midemu ya bongo bwana u star kunuka hauwafaidishi.
 
KIKI? Habari hii imeandikwa kwa urahisi sana kwenye gazeti la udaku kwamba Msanii Linah amekiri taarifa za yeye kuonekana akiwa na msanii wa Nigeria Wizkid katika Hoteli moja maarufu hapa mjini.

Si kuonekana tu, imeelezwa kuwa Linah alipoulizwa kuwa amelala nae kwa maana ya 'kula uroda' alithibitisha kuwa ni kweli na kuongeza kuwa yeye na Wizkid wana mipango ya muda mrefu tu..

Mmh!

================

Linah alala na Wizkid hotelini

12534382_1290457537638479_1676532643_n.jpg


Imefichuka! Hatimaye ishu ya wanamuziki wa Bongo, Estelina Sanga ‘Linah’, kudaiwa kulala kitanda kimoja na msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’, imebumburuka.

Baada ya kuandamwa na skendo hiyo ya kutoka kimapenzi na Wizkid huku mashabiki wake waliyo wengi wakishindwa kuamini juu ya uhusiano huo, hatimaye sasa mambo yamevuja na kujidhihirisha kuwa kweli staa huyo alilala hotelini tena kitanda kimoja na Mnigeria huyo.

Wizkid1.jpg

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’.

Kikieleza kwa kujiamini, kiliweka wazi kuwa Linah alilala kitanda kimoja na staa huyo kwenye hoteli moja iliyopo Masaki, Dar, baada ya msanii huyo kutua Bongo kwa ajili ya kufanya makamuzi kwenye moja ya shoo zake alizokuwa ameletwa na promota King Solomon.

“Linah alilala na Wizkid, alikaa naye hadi siku anaondoka kulelekea Nigeria, na nikwambie ukweli uliyojificha ni kwamba, Linah kumbe ni siku kibao alikuwa akiwasilina na Wizkid kupitia mtandao wa Insta Direct, lakini hawakuwahi kuonana ila nafasi ya kuonana na kulala pamoja ilikamilika baada ya Wizkid kuja Bongo,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kumwagiwa ishu hiyo, gazeti hili ‘lilicheki’ na Linah ambaye alikiri ‘kubanjuka’ na Wizkid huku akidai kwamba kuna mtu alifuta kila kitu kwenye simu yake hasa kilichohusiana na Wizkid wakati yeye alikuwa na mipango mingi naye.

Alisema kitendo alichofanyiwa na mtu huyo ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake kimemhuzunisha mno kwani ndoto zake za kufanya ngoma na staa huyo zimeyeyuka.

GPL
series episode
 
Na kutudhihirishia kuwa anajipendekeza kwa star anadai kusikitishwa na kufutwa kwa vitu kwenye simu yake. Sasa kama mtu una mipango naye ni lazima hata yeye awe anawasiliana na wewe. kwa hiyo kufutwa kwa hivyo vitu wala haliwezi kuwa tatizo kwani mawasiliano si yanaendelea kuwepo tu.
Mwongo huyo mtoto ,hiyo insta direct aliyokua anatumia kuwasiliana nae mwanzo kwanini asitumie sasa hivi ?? Nimeamini haya maneno watch the company you keep ,anashinda na kina Masogange ataacha kuuza Nyapu ,au sijui kuwagombania ma star ??
 
Duh,jamaa kanyaka ubuga halafu hakuna colabo wala nini!!
 
Back
Top Bottom