Linah anawaaibisha wazazi wake

Linah anawaaibisha wazazi wake

amevaa sawa kama zamani,sababu ni fupi sana hivyo ndio wazee wetu walikuwa wanavaa kabla ya wakoloni namsifu kwa kuendeleza mila.

Tanzania hakuna sheria ya kumzui mtu kuvaa nguo fupi au ndefu,hizo sheria zako peleka uko kwa waarabu

Situmii nguvu sana kubishana na ww coz mtu ambaye elim yake ni duni ndoo maana unaiga kila kitu,usha wahi kuona mzugu anatafuta nywele za africa?
 
Situmii nguvu sana kubishana na ww coz mtu ambaye elim yake ni duni ndoo maana unaiga kila kitu,usha wahi kuona mzugu anatafuta nywele za africa?

mimi pia sibishana kama unaona umeuzika huyu kuvaa nguo fupi nenda kashtaki polisi,kila nguo ina mahali pake,ulitegemea hapo avae nini? acha kucomplicate maisha
 
Mkuu uchaji wa Mungu ni free will na kama ujuavyo hakuna utakatifu wa familia sasa huyu kachagua anachopenda inabidi tuheshimu uamuzi wake
 
Lakin mi huwa nnakatamani ka Linah kwa ku kagegeda kanafaa
 
Wakuu huyu binti nasikitika sana analeta aibu kwa familia yao kwa vivazi vyake baba yake ni pastor na zaidi ya yote hapo nyuma linah alikuwa muinbaji mzuri kanisani kabla hajaasi

yote anafanya kwa Baraka za wazazi wake.ushahidi upo! pilipili usozila..............
 
mnapinga nn nyie ni mira ya afrika kucheza na chupi? Au hamjui mwl nyerere aliita shule za msingi na cyo shule tu…… achen kusifia ukahaba bhana au huna dada(fundisha kama unaye na kama huna wapo wanduguzu)

umenielewa nilichokiandika? Au umeamua kukurupuka na argue yako? Nmekwaambia hayo ndio maadili ya kwao inamaana mpaka hapo ameamua kuvaa hvyo ujue baba na mama yake wameyaona na wamekubaliana naye sasa ww na mm tunalalamika tutaweza?
 
Situmii nguvu sana kubishana na ww coz mtu ambaye elim yake ni duni ndoo maana unaiga kila kitu,usha wahi kuona mzugu anatafuta nywele za africa?

dogo ee! Usitutoe mishipa bure kama vp mfuate basi kampe hilo somo atakuelewa. Ww si inakuuma kuliko baba yake na kaka zake?
 
mila ya Afrika kwanza sio kuvaa nguo ni kuziba kikojoleo tu na magome na kifuani ni wazi kama ushawaona bush men wanavyovaa au wale wahazabe,hizi nguo ameleta mzungu si utamaduni watu

Acha kusifia ujinga,ww kilaza
 
ukiwa mchungaji haimaanishi na kizazi chako chote ni wachungaji.. kuna mambo mengi ya kuwaaibisha wazazi sio hilo tu.... ninachokiamini mimi ni kwamba kila mtu ameandikiwa jinsi atakavyoishi tangu anazaliwa hadi anakufa..!! hicho ndicho alichoandikiwa katika ujana wake pengine atabadilika uzeeni.. ( huwezi jua)
 
Kama yeye haoni tatizo,kwa nini wewe uone tatizo?
 
Back
Top Bottom