amevaa sawa kama zamani,sababu ni fupi sana hivyo ndio wazee wetu walikuwa wanavaa kabla ya wakoloni namsifu kwa kuendeleza mila.
Tanzania hakuna sheria ya kumzui mtu kuvaa nguo fupi au ndefu,hizo sheria zako peleka uko kwa waarabu
Situmii nguvu sana kubishana na ww coz mtu ambaye elim yake ni duni ndoo maana unaiga kila kitu,usha wahi kuona mzugu anatafuta nywele za africa?