[emoji23][emoji23][emoji23] mazoea mama.Alaf mimi ananiuzi akiwa kwenye interview bada ya sentensi moja yeah akiongea kidogo yeah jamaan lazima tuige uzunguu
Yaani Limbwata, au??Kukamatika husikii chochote kila unachiambiwa na mpenzi wako kila kitu unakubali
Siku hizi kuzaa bila ndoa fashion ehhh haswa mwanaume akiwa na vijichenjiInaweza ikawa limbwata au mahabati anayopewa
Usisahau kuwa zamani alikuwa mwanakwaya kanisani... HIVYO UKWAYA KWAYA UMEMTOKA TARATIIBU HADI SASA UNAKARIBIA KWISHA KABISAlinah ananiboa sio kama alivyokuwa zamani alikuwa anavaa kiheshima ila sasa hivi anavyovaa binafsi ananikera sijui ndo ulimbukeni au ndo kutuonesha kuwa kabarikiwa. ajitulize kama zamani maana anavyojiharibia sifa hadi namwonea huruma
Script inahusika... umewahi sikia watu wanaoongea kwa script..? wengine hadi mgegedoni full script..NaNa wakishazowea sana script, hadi kwenye ndoa wanaishi kama wapo LOCATIONWallah Nifah siku ukibahatika kuona interview utabadili chanel na sio mara moja kila baada ya sentensi yeah or yaah
Anatakiwa kulowekwa huyoLina sijui ataiva lini.
Shida sio make up. Hana mvuto kabisa. Sema tu basiMe binafsi simpendi linah, hivi cjui nani huwa anam make up, huwa hapendezi kabisa na sibarikiwi na mwonekano wake
hilo nalo neno MkuuUsisahau kuwa zamani alikuwa mwanakwaya kanisani... HIVYO UKWAYA KWAYA UMEMTOKA TARATIIBU HADI SASA UNAKARIBIA KWISHA KABISA
Utajua ukimpata wa kukushikaHivi kumbe kuna kushikwa haswaa ndo kupoje