Linah unanikera, una mbawa lakini zimenyonyoka, hongera Vanessa Mdee

Mkuu uliona wapi msanii akatoboa kimataifa kutokea THT? Bora THT waitaifishe WCB sasa. Kwa Vipaji vilivyoko THT ukiachilia Linah, ni aibu hata nominations za East Africa tu wanakosa. [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…