Linah unanikera, una mbawa lakini zimenyonyoka, hongera Vanessa Mdee

Linah unanikera, una mbawa lakini zimenyonyoka, hongera Vanessa Mdee

[emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu niambie mama,huenda unajua zaidi.
Jux ana maisha mabovu?Hana pesa?
maisha mazuri anayo sana tu..
lakini sio ndo kusema video za vanesa na zake zote anagaramia ..
nakataa
yeye mwenyewe alisema anamshukuru vanessa kwa kumsaidia baadhi ya mambo mpaka kufikia hapo alipo...
 
maisha mazuri anayo sana tu..
lakini sio ndo kusema video za vanesa na zake zote anagaramia ..
nakataa
yeye mwenyewe alisema anamshukuru vanessa kwa kumsaidia baadhi ya mambo mpaka kufikia hapo alipo...
Sikiliza,Vanessa kumsaidia Jux labda connections tu.
Maana Vanessa amefanya kazi katika vyombo vya habari vikubwa na Exposure anayo.

Ila katika suala la gharama za video anazofanya Vanessa baada ya kuwa na Jux zinagharamiwa na Jux.
Hutaki acha,sikulazimishi kuamini.

Ova
 
Sikiliza,Vanessa kumsaidia Jux labda connections tu.
Maana Vanessa amefanya kazi katika vyombo vya habari vikubwa na Exposure anayo.

Ila katika suala la gharama za video anazofanya Vanessa baada ya kuwa na Jux zinagharamiwa na Jux.
Hutaki acha,sikulazimishi kuamini.

Ova

pole bna, hadi mapovu yanakutoka, utadhani askari amenyimwa Pesa ya kubrashia viatu..
 
Jux pamoja na maza ake kuwa na mkwanja alimuunganishia na madeal China... Jux ana mbumba hatari na anamalizia mgorofa wake wa floor mbili, na miradi kibao!
 
....Jack cliff ( yule aliyekamatwa China)+ Jux =?
 
Mama yake mkuu,achana na tetesi za unga sijui nini.
Bi mkubwa wake ndio anafadhili fujo zote za Jux mjini hapa.
Usiniulize mishe anazopiga mama yake...
Ila kwa awamu hii nadhani bomba la mama la pesa linasuasasua maana kitengo chake kina hali mbaya.
Labda kama aliwekeza kwenye miradi ya maana.
Niffah unatisha ati bomba la mama ake linasuasua lo!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli tena.Kile kitengo chao hali ni mbaya.
Period
Yaah! Kama ndio vile vitengo vyao kwa msimu huu vipo hatarini mno havina nguvu vimebanwa mno maana mzee mwenyewe hadanganyiki kakaza mbaya!
 
Ila kupitia mgongo wa Jux bibie kafanya makubwa zaidi ambayo asingeweza kuyafanya kabla ya kuwa nae.
Nikutonye tu Jux ndiye anayegharamia videos na kila kitu cha Vanessa kwa sasa.
Period.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] safi sana!
 
Mama yake mkuu,achana na tetesi za unga sijui nini.
Bi mkubwa wake ndio anafadhili fujo zote za Jux mjini hapa.
Usiniulize mishe anazopiga mama yake...
Ila kwa awamu hii nadhani bomba la mama la pesa linasuasua maana kitengo chake kina hali mbaya.
Labda kama aliwekeza kwenye miradi ya maana.
Mama ake jux anapiga deal gani?tupeni umbea huoo!!
 
Lina sanga ameanza safari yake ya muziki na kutambulika Tanzania tangu mwaka 2010 mwezi august alipotoa wimbo wake wa kwanza “Atatamani” na ulimfanya apendwe mithili ya twiga mwenye maringo na madaha ya kupenda kula majani yenye maua mazuri ya uarid

lina sanga hakuridhika kwa jina kubwa kama ilivyokuwa kwa mfalme simba alipojihisi kujwa na sauti yenye mungurumo mkubwa kuliko wanyama wote msituni alizidi kutoa vibao vikali zaidi na kutetemesha tasnia ya mziki kwa nyimbo zake “bora nikimbie, “Angalau” “Tumetoka mbali” “Fitina” na nyingne zilizobamba masikioni mwa wapenda muziki

Vannesa mdee yeye aliwasha gari ya muziki "Closser” Juni 2012 lakini kuwepo kwa hali ngumu ya maisha na kutegemewa na familia na ndugu zake huenda ndo sababu ya kumwambia Vanessa "HONGERA" kuvunja uzio wa muziki mpaka sasa ameshiriki project na wasaniui wakike kutoka barani afrika

Tangu vannesa ameanza kuimba ni miaka 4 lakini ana mafanikio yasiyofikiwa na mwanamuziki wa kike ambayo kwa maoni yangu nina sababu ya kusena Lina UNANIKERA kwa kuwa ana MBAWA LAKINI ZIMENYONYOKA.

Ni Ukweli usiopingika Lina ni msanii mzuri wa uimbaji kuliko Vanesa, Na anauwezo wa kupata mafaniko zaidi ya aliyoyapata Vannesa, lakini kutokana na juhudi anazozifanya vannesa zinamfanya aonekane yeye ni zaidi ya lina

[HASHTAG]#kijanamzalendo[/HASHTAG] [HASHTAG]#ilovetz[/HASHTAG] [HASHTAG]#maoniyangu[/HASHTAG]
**kupatwa kwa thread**
 
Back
Top Bottom