stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Masu au muite MasumbukoHivi yule msanii aliyecheza character ya nsyuka jina lake halisi ni nani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masu au muite MasumbukoHivi yule msanii aliyecheza character ya nsyuka jina lake halisi ni nani?.
Kuna madogo hawajawahi kuona hii michezo aisee daah enzi hizo michezo mitamu sana kuangalia Mzee Magari na msemo wake wa 'Mahinda Maidota'Kidedea (chini ya mwanadada Peace), Mambo Hayo (Nyota Ensemble chini ya Bishanga na wenzake) na Kaole yalikuwa makundi matatu tofauti yaliyorusha michezo ITV. Kidedea ndo iliyowaibua akina Jengua, Tabia n.k...
Nimemkumbuka Bishanga Bashaija 😂Kidedea (chini ya mwanadada Peace), Mambo Hayo (Nyota Ensemble chini ya Bishanga na wenzake) na Kaole yalikuwa makundi matatu tofauti yaliyorusha michezo ITV. Kidedea ndo iliyowaibua akina Jengua, Tabia n.k...
Tunaomba utuwekee nakala yake hapa na Sisi tuiangalie haujaipandisha YouTube utupe link?Inaitwa AUGUA, filamu ya kwanza nchini iliyopata udhamini wa Mfuko wa Utamaduni, mtayarishaji si Said Bawji (mwasisi wa Sani) bali kaka yake, Amri Bawji, ambaye alikuja kuwa mhariri wa Sani baada ya kifo cha Said. Pia alianzisha jarida la AMBHA...
Mimi nina nakala ya filamu hii...
Kibuyu ilikua vizuri Sana marehem king majuto aliitendea haki .Kidedea ni tamthiliya ilivyokuwa ikirushwa ITV na kundi la Mambo hayo au kama sikosei Kaole Sanaa group .
Nsyuka ni filamu ya kwanza ya kutisha iliyopata mapokezi makubwa ila kabla yake kulikuwa na filamu ya kibuyu ambayo haikutamba sana.
Shamba kubwa nayo ni ya zamani sana.
Huyu S.M alifariki au yuko hai?,Said Bawji.Natafuta filamu ya kibongo ikiitwa "Auguwa" ilitayarishwa na S M Bawji aliyekuwa muasisi wa gazeti la SANI
Masu ni yule mtoto wake Insyuka na Doreen aliyempata kupitia kuingia kwenye mwili wa mganga.Masu au muite Masumbuko
Aaaha ye anamsema yupi?Masu ni yule mtoto wake Insyuka na Doreen aliyempata kupitia kuingia kwenye mwili wa mganga.
Hey nafahamu yote hayo.Kidedea (chini ya mwanadada Peace), Mambo Hayo (Nyota Ensemble chini ya Bishanga na wenzake) na Kaole yalikuwa makundi matatu tofauti yaliyorusha michezo ITV. Kidedea ndo iliyowaibua akina Jengua, Tabia n.k...
RastaAaaha ye anamsema yupi?
Mmm mimi mzee wa busara ndo niliona kali zaid kwa upande wa horrorKidedea ni tamthiliya ilivyokuwa ikirushwa ITV na kundi la Mambo hayo au kama sikosei Kaole Sanaa group .
Nsyuka ni filamu ya kwanza ya kutisha iliyopata mapokezi makubwa ila kabla yake kulikuwa na filamu ya kibuyu ambayo haikutamba sana.
Shamba kubwa nayo ni ya zamani sana.
Ulishawahi kuiona filamu ya Jinamizi?Mmm mimi mzee wa busara ndo niliona kali zaid kwa upande wa horror
NdioUlishawahi kuiona filamu ya Jinamizi?
Isee enzi hizo hukosi hii michezo saa tatu usiku jumamosi yaani tv hapo antena za samaki chenga kwa mbali yaani mara inazingua.Ila mbona miaka ya 2000s kulikuwa na michezo ya kidedea na Maisha?
Nsyuka ilikuwa mbele sana miaka ya 2003 hivi.
Sio mtaalamu kwenye maswala ya filamu. Napata wakati mgumu kuamini kuwa filamu zilianza Tanga 1995.
Nieleweshwe.
Pia nimepitia website ya bodi ya filamu Tanzania. Inaonyesha filamu zimeanza toka kipindi cha ukoloni