Uchaguzi 2020 Linapokuja suala la kuiondoa CCM madarakani, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ni kikwazo

DSM NI KILA KITU WANA MATATIZO NAYO,WAO NDIYO HAWANA NGUVU ZA KIUME,WAO NDIYO WALAINI,NDIYO MKOA UNAONGOZA KWA KUSAIDIWA WAKE ZAO NA WANAUME WENGINE YAANI WAO KILA KITU WAKO NYUMA.


WANAUME WA DSM NDIYO WANONGOZA KWA KUJICHUBUA NA KUWA SALON,WANAUME NI WAVIVU HAWATAKI KAZI YAANI KWA KIFUPI DSM NI COLLECTIONS YA MASWAIBU NI SHIDA KILA KITU.
 
Kumbuka Dar haina wenyewe wengi vichinjio vyao ni vya mikoani ujue wako hapo kimaslahi zaidi.
 
Hahaha jomba umenifanya nicheke..hivi utamdanganya mtanzania gani kwa Sasa,. Umeshachina jomba..Sasa uiondoe CCM madarakani uweke chama gani labda tuelimishe..act,cuf, chadema,nccr, nld,udp, updp,tadea au kipi...usitudanganye halafu ukaacha wananchi wanaitumbukiza shimoni Taifa Hilo..ukome kabisa.kama huna kazi ya kufanya nenda hata ukalime..lakini hii biashara ya kupitia fursa kwa kuwadanganya wananchi ikome..wananchi kwa sasa tayari Wana maamuzi huwezi kuwashawishi na lolote...waambieni hata hao mabwana zenuu hi ulaya kwamba Tz kimeshindikana..
 
Dar wengi wasomi hadi kuwa convince Kwanzaa
 
2015 General election
Kibamba upinzani
Kawe upinzani
Ubungo upinzani
Kinondoni upinzani
Ukonga upinzani
Temeke upinzani
Upinzani ulichukua majimbo 6 kati ya 8 Dar,hapa Dar ni kitovu cha upinzani na mwaka huu nadhani CCM itapata moja tu la ILALA au ikakosa yote(kama uchaguzi utakuwa huru na wa haki)
Ubungo upinzani
 
Kwahiyo 2015 uchaguzi ulikuwa wa haki ndiyo maana upinzani ulichukua majimbo mengi?
 
Mabeberu wamelipa 400+ trillions..wadai uone kazi..nyamnafu
 
Watu wa dar wanawaza ujinga tu kwao wanaona ndio ujanja,kushabikia Marium birian,Gigy money, kijana wa dar akinywa windihoek beer na akimiliki Brevis na smart phone za kichina anaona dunia yote yake
 
Watu wa dar wanawaza ujinga tu kwao wanaona ndio ujanja,kushabikia Marium birian,Gigy money, kijana wa dar akinywa windihoek beer na akimiliki Brevis na smart phone za kichina anaona dunia yote yake
Tatizo ni kwamba hata wewe ukitoka huko kwenu na kuja kufanya ujinga wako basi wanasema watu wa Dar.
 
Tuliopo Nachingwea tunaendelea kusoma comment fupi fupi tu 😜😜😜
 
CCM haiondoki madarakani leo, kesho wala kesho kutwa. Badilisheni plan tu.
Immancipate yourselves from mental slavery
None but ourselves can free our minds
Have no fear for atomic energy
Cause none of them can stop the time
How long shall they kill our prophets
While we stand aside and look
Some say,it's just part of it
We've got to fulfill the book.

Mkuu...tambua uvumilivu una kikomo chake na ogopa sana uvumilivu unapofika mwisho binadamu hubadilika na kuwa mnyama...itafika muda CCM ataondoka kama alivyoondoka firauni,tambua hilo
 
Hamasa ya uchaguzi imepotea dar sio cdm Wala ccm ngoja tuone mbeleni bado Nampa nafasi kubwa lisu kwa sera nzuri za kujenga uchumi
 
Mbona dada zenu wote wanaondoka shamba huko kwenu wanawapekea nyama wanaume wa dsm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…