Pambafu. Sasa jitu la CCM litaniambiaje nilinde utajiri wakati kura nililinda zikachomolewa.
[emoji16][emoji16]Pambafu. Sasa jitu la CCM litaniambiaje nilinde utajiri wakati kura nililinda zikachomolewa.
Nashangaa sana kutwa kupakana choo mitandaoni.wachukuane na mashahidi wakutosha kutoka pande zote wakaukate mzizi wa fitina.wakacheki DNA full stop.lakini sasa nikuvuana nguo mchana kweupe.mara kondo.m ilipasuka,mara aliikataa mimba lakini alimlea.Hivi wameshindwa kumaliza matatizo yao in a civil manner? Hela ipo, lawyers /managers wapo. Go and do DNA baada ya close chapter in civil way.
Kwa hivyo yule baba alikuwa ni Imposter...aliyedhaniwa kuwa ni baba wa diamond kabla jana.
Hapo kaonge mambo ya ajabu utajiri na pesa vyote ni vya hapa dunian ila kumujua Mungu ndo Jambo la muhimu
Provided wawe na mafanikio ila wakiwa waganga njaa tu hakuna wa kukuibiaKuna point hapa[emoji116]View attachment 1679712
Msimamia baiskeli wa zamani wa mama diamond.Ni nani huyo Mzee Abduli?
Hakika kabsaKauli hii wanaume tuiweke katika sehemu salama zaidi katika vichwa vyetu. Maneno ya mwisho ya Mzee Abdul kumuasa aliyekua mwanae kuhusu maisha.