Lindi: Ahukumiwa maisha jela kwa kulawiti mtoto wa miaka nane

Lindi: Ahukumiwa maisha jela kwa kulawiti mtoto wa miaka nane

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Stevin Malikanga (48) Mkazi wa Kijiji cha Simana amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani na Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka nane.

Mtuhumiwa amedaiwa kutenda kosa hilo Julai 26, 2022 baada ya kumchukua Mtoto huyo aliyekuwa akicheza nje ya nyumba yake na kumuingiza ndani kisha kumlawiti.

Licha ya mtuhumiwa kukana, shahidi namba 5 wa kesi hiyo ambaye ni daktari alisema alikuta majeraha madogo kwenye haja kubwa ya mtoto na sehemu hiyo ilikuwa na uwazi.

Source: Azam TV
 
Inasikitisha sana, sasa yeye huko anaenda kulawitiwa kila siku...
 
NGOJA NA YEYE AKALAWITIWE NA MANYAPARA
Inasikitisha na inaumiza zaidi, lakini huoni ushahidi unatia Shaka, watu sio wazuri wakati mwingine hatupaswi kushangilia kwa kuwa Kuna Kesi za kutengeneza, nimewahi shuhudia mama na baba wanawashauri dada na Kaka yake wazini ili kumtia hatiani mtoto wa jirani yao waliyekuwa naye ugomvi, lengo ilikuwa kupata ushahidi wa binti kuingiliwa.

Hizi Kesi za kubaka wakati mwingine kwa nchi zetu za afrika Ni shida, hapo ilifaa ushahidi DNA utumike ndo tuamin kuwa jamaa kahusika.

Nb.siungi mkono unyanyasaji wa watoto
 
Inasikitisha na inaumiza zaidi, lakini huoni ushahidi unatia Shaka, watu sio wazuri wakati mwingine hatupaswi kushangilia kwa kuwa Kuna Kesi za kutengeneza, nimewahi shuhudia mama na baba wanawashauri dada na Kaka yake wazini ili kumtia hatiani mtoto wa jirani yao waliyekuwa naye ugomvi, lengo ilikuwa kupata ushahidi wa binti kuingiliwa.

Hizi Kesi za kubaka wakati mwingine kwa nchi zetu za afrika Ni shida, hapo ilifaa ushahidi DNA utumike ndo tuamin kuwa jamaa kahusika.

Nb.siungi mkono unyanyasaji wa watoto
Uko sahihi
 
Natumai dini yake haimruhusu kufanya hayo ni yeye na ufedhuli wake
 
Ushoga hauruhussiwi na hautakiwi, ila vitendo vya kiashiria vya ushoga vinafanyika kila leo tena wazi wazi na hao hao wapinga ushoga.,

Kuna tatizo sehemu, duuuuuh.
 
Watoto Wana Hali mbaya Sana.
Shule wanaviziwa mitaani nako.
 
Stevin Malikanga (48) Mkazi wa Kijiji cha Simana amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani na Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka nane.

Mtuhumiwa amedaiwa kutenda kosa hilo Julai 26, 2022 baada ya kumchukua Mtoto huyo aliyekuwa akicheza nje ya nyumba yake na kumuingiza ndani kisha kumlawiti.

Licha ya mtuhumiwa kukana, shahidi namba 5 wa kesi hiyo ambaye ni daktari alisema alikuta majeraha madogo kwenye haja kubwa ya mtoto na sehemu hiyo ilikuwa na uwazi.

Source: Azam TV
da!!! haya matukio yamezidi sasa!!
 
Back
Top Bottom