Lindi na Mtwara zatahadharishwa kimbunga cha Jobo

Lindi na Mtwara zatahadharishwa kimbunga cha Jobo

Kuna wale wataalamu wa asili wanaua nguvu za kimbunga, kule kanda ya ziwa ni maarufu sana........unaona kitu kirefu cheusi ziwani kimenyooka hadi mawinguni wenyewe wanaita omusoke, ila baada ya muda kinakatika kabla hakijafika nchi kavu. Nasikia pale kinapopita unakuta samaki kibao wamekufa...
 
22 April 2021

Tropical cyclone Jobo aiming at Tanzania'a largest city Dar Es Salaam​



Weathermen in the region are reporting that a rare tropical cyclone that could hit Tanzania's largest city Dar es Salaam. Cyclone Jobo which is currently located near the island of Madagascar, in the South Indian Ocean, is currently equivalent to a strong tropical storm with winds moving at nearly 100 kilometres per hour.

Meteorologists say this would be the first cyclone to make landfall in Tanzania in modern records.

But the experts say environmental conditions in the region such as its promixy to the equator, could weaken the storm prior to making landfall late this weekend.

Land falling cyclones are almost unheard of in Tanzania owing to its location near the equator, where a phenomenon known as the Coriolis force which causes a storm to rotate, is weaker.

Records show only two other tropical cyclones to have ever made it to the shores of Tanzania since the 19th century: the "Zanzibar Cyclone" of 1872 and Cyclone Lindi of 1952. The two storms struck the nation 80 years and one day apart, bringing significant devastation to the areas they impacted and took countless lives.
Source : Kenya CitizenTV
 
Ubalozi wa Marekani jijini Dar es salaam umetoa tahadhari ya kiusalama kwa wafanyikazi wake walioko nchini Tanzania kuhusu hatari ya Kimbunga Jobo kinachoeleka katika pwani ya nchi hiyo na kitaufikia pia mji wa Dar salaam .
Kupitia tahadhari kwa wafanyikazi wa ubalozi wake , afisa anayesimamia usalama Robert Gousie amesema kimbunga hicho kinatazamiwa kutua Tanzania kufikia tarehe 25 Aprili.
Amesema hakuna uhakika kuhusu ukubwa wa athari zake na mengi bado hayajulikani kwnai kuna vingi vinavyoweza kubadilika katika siku zijazo .
Taarrifa yake imeeleza kwamba miongoni mwa hatari kusababishwa na kimbunga hicho ni kuwepo upepo mkali ,mawimbi ,mafuriko na mvua kubwa . Mkuu huyo wa usalama amewashauri wafanyikazi wa ubalozi wa Marekani na watu katika sehemu zitakazoathiriwa kuchukua hatua zifuatazo kimbunga hicho kinapokaribia;
  • Kusalia nyumbani ili kuepuka hatari
  • Kutosafiri wakati huu kwani mvua kubwa na upepo mkali zinaweza kuziharibu barabara
  • Kuhakikisha wana chakula na maji ya kutosha katika nyumba zao ,na kuwa tayari kusalia kwenye makazi yao iwapo mvua na upepo vitazidi
  • Kuingiza ndani vifaa vilivyo nje ambavyo vinaweza kuwa hatari vikibebwa na upepo
  • Kuhakikisha magari yao yana mafuta
  • Kuhakikisha simu zao zina moto na kujitayarisha kwa safari ya dharura endapo hali itabadilika na kufuatilia taarifa kuhusu kinachofanyika kupitia vyombo vya habari
Kwa mujibu wa mashirika ya kimataifa ya utabiri wa hali ya hewa, kimbunga hicho kinatarajiwa kuwa kikubwa zaidi kuwahi kutua Tanzania tangu mwaka 1952.
Ripoti zilziotolewa jana zilisema kimbunga hicho kilionekana kaskazini mwa Madagascar kikiwa na kasi ya kilomita 83 kwa saa.
Utabiri ulionyesha kuwa kimbunga hicho kilipiata Ushelisheli Aprili tarehe 22 kikiwa na kasi ya kilomita 130 kwa saa na kinatazamiwa kutua Tanzania Aprili 24 au 25.
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadahrisha kuwa kimbunga hicho cha Bahari ya Hindi kinaweza kusababisha upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika maeneo ya Lindi na Mtwara. Aidha kuna uwezekano wa kutokea mafuriko katika maeneo athirika.
TMA imesema itaendelea kufuatilia kimbunga Jobo na kuwapasha wananchi habari kuhusu tahadhari zinazopasa kuchukuliwa.
 
Ubalozi wa Marekani jijini Dar es salaam umetoa tahadhari ya kiusalama kwa wafanyikazi wake walioko nchini Tanzania kuhusu hatari ya Kimbunga Jobo kinachoeleka katika pwani ya nchi hiyo na kitaufikia pia mji wa Dar salaam .
Kupitia tahadhari kwa wafanyikazi wa ubalozi wake , afisa anayesimamia usalama Robert Gousie amesema kimbunga hicho kinatazamiwa kutua Tanzania kufikia tarehe 25 Aprili.
Amesema hakuna uhakika kuhusu ukubwa wa athari zake na mengi bado hayajulikani kwnai kuna vingi vinavyoweza kubadilika katika siku zijazo .
Taarrifa yake imeeleza kwamba miongoni mwa hatari kusababishwa na kimbunga hicho ni kuwepo upepo mkali ,mawimbi ,mafuriko na mvua kubwa . Mkuu huyo wa usalama amewashauri wafanyikazi wa ubalozi wa Marekani na watu katika sehemu zitakazoathiriwa kuchukua hatua zifuatazo kimbunga hicho kinapokaribia;
  • Kusalia nyumbani ili kuepuka hatari
  • Kutosafiri wakati huu kwani mvua kubwa na upepo mkali zinaweza kuziharibu barabara
  • Kuhakikisha wana chakula na maji ya kutosha katika nyumba zao ,na kuwa tayari kusalia kwenye makazi yao iwapo mvua na upepo vitazidi
  • Kuingiza ndani vifaa vilivyo nje ambavyo vinaweza kuwa hatari vikibebwa na upepo
  • Kuhakikisha magari yao yana mafuta
  • Kuhakikisha simu zao zina moto na kujitayarisha kwa safari ya dharura endapo hali itabadilika na kufuatilia taarifa kuhusu kinachofanyika kupitia vyombo vya habari
Kwa mujibu wa mashirika ya kimataifa ya utabiri wa hali ya hewa, kimbunga hicho kinatarajiwa kuwa kikubwa zaidi kuwahi kutua Tanzania tangu mwaka 1952.
Ripoti zilziotolewa jana zilisema kimbunga hicho kilionekana kaskazini mwa Madagascar kikiwa na kasi ya kilomita 83 kwa saa.
Utabiri ulionyesha kuwa kimbunga hicho kilipiata Ushelisheli Aprili tarehe 22 kikiwa na kasi ya kilomita 130 kwa saa na kinatazamiwa kutua Tanzania Aprili 24 au 25.
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadahrisha kuwa kimbunga hicho cha Bahari ya Hindi kinaweza kusababisha upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika maeneo ya Lindi na Mtwara. Aidha kuna uwezekano wa kutokea mafuriko katika maeneo athirika.
TMA imesema itaendelea kufuatilia kimbunga Jobo na kuwapasha wananchi habari kuhusu tahadhari zinazopasa kuchukuliwa.
 
Back
Top Bottom