Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya Lindi imemuhukumu Selemani Matola (53) mkazi wa Halmashauri ya Mtama kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia ya Kumnajisi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 8
Inadaiwa kuwa mshatakiwa huyo alifanya tukio hilo Disemba 17,2021 usiku wakati mkwewe amehudhuria sherehe za ngoma za kuwaaluwa watoto wa kaka yake, mkewe aliporudi alimkuta mume wake akiwa amelala usingizi mzito na mjukuu wao wakiwa uchi wa mnyama na alipowafanyia ukaguzi akabaini mbegu za kiume zimeweka michilizi kwenye mapaja ya mjukuu wao hali iliyomlazimu kuita majirani na kutoa taarifa kwa uongozi wa Serikali ya kijiji na hatimae Polisi.
Aidha mshitakiwa alidai iwapo atapewa adhabu kali kutaifanya
familia hiyo ikose huduma yake ya matunzo huku akidai Ibilisi wa
mapenzi alimshawishi kufanya kitendo hicho.
Inadaiwa kuwa mshatakiwa huyo alifanya tukio hilo Disemba 17,2021 usiku wakati mkwewe amehudhuria sherehe za ngoma za kuwaaluwa watoto wa kaka yake, mkewe aliporudi alimkuta mume wake akiwa amelala usingizi mzito na mjukuu wao wakiwa uchi wa mnyama na alipowafanyia ukaguzi akabaini mbegu za kiume zimeweka michilizi kwenye mapaja ya mjukuu wao hali iliyomlazimu kuita majirani na kutoa taarifa kwa uongozi wa Serikali ya kijiji na hatimae Polisi.
Aidha mshitakiwa alidai iwapo atapewa adhabu kali kutaifanya
familia hiyo ikose huduma yake ya matunzo huku akidai Ibilisi wa
mapenzi alimshawishi kufanya kitendo hicho.