Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
LINDI: TAKUKURU YABAINI KASORO MIRADI YA TSH 928,340,557
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Lindi imebaini kasoro katika miradi miwili yenye thamani ya shilingi 928,340,557 wakati wa mchakato wa kufuatilia miradi mkoani hapo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2022.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Lindi, Abnery Mganga amesema kasoro zilizobainika ni ucheleweshwaji wa miradi kumalizika ndani ya muda, ikiwa ni miradi miwili kati ya 18 iliyofuatiliwa.
Amesema TAKUKURU ilifuatilia jumla ya miradi 18 yenye thamani ya Shilingi 3,744,489,057, ambapo miradi 16 iliyosalia yenye thamani ya Tsh. 2,774,489,057 haikukutwa na kasoro
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Lindi imebaini kasoro katika miradi miwili yenye thamani ya shilingi 928,340,557 wakati wa mchakato wa kufuatilia miradi mkoani hapo kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2022.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Lindi, Abnery Mganga amesema kasoro zilizobainika ni ucheleweshwaji wa miradi kumalizika ndani ya muda, ikiwa ni miradi miwili kati ya 18 iliyofuatiliwa.
Amesema TAKUKURU ilifuatilia jumla ya miradi 18 yenye thamani ya Shilingi 3,744,489,057, ambapo miradi 16 iliyosalia yenye thamani ya Tsh. 2,774,489,057 haikukutwa na kasoro