Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Kadi kibao za watumishi zinazotumika kama dhamana. Hawa Wakurya wana mpaka mashine za uwakala wa mabenki. Mtandao wao ni mkubwa, Mtwara walikamatwa wanaendelea kama kawaida now.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app