Wasiwaingize wanasiasa kwenye kampuni hiyoAmna ujue waliingilia kuwasaidia wakulima kwamba wananyonywa lakini tija ni ndogo..
Hapa Serikali ingeanzisha kampuni kubwa ya biashara ya korosho Ili ijiendeshe kibiashara na isiingiliwe.
Nchi zengine wakulima hugoma kwa mfano wanaingia barabarani na matrekta na kusababisha misongomano foleni. Wengine hugoma kuuza bidhaa kama walivyofanya, ni sahihi mtu wa Dar akikosa korosho basi atakula njugu 😉Unakera kwa uandishi wako wa herufi kubwa tupu, unamgombeza nani?
Sasa Bei ya hasara ni ipi?LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
Jifunze kuandika vizuri we boya.LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
Pamoja na Mhemko wa herufi kubwa.
Timu kusifia ina mapambio mengi hadi hawakumbuki lipi walishaimba na lipi bado.
Sio kweli kabisa...ila haiba yetu waafrika ni kulaumu watu wengi kwa kila madhira yanayotupata. Ndio maana tukiambiwa kwanini hatuendelei, tunamsingizia mkoloni. Miaka 60 baada ya kuwa ameshaondoka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Alaaniwe jiwe huko aliko, yeye ndiye chanzo cha mvurugiko wa bei ya zao la korosho.
LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
Hivi kwa nini zao la korosho linaletaga sintofahamu Sana?
Wakinunua w
Watu wa ushirika kero,wakinunua wafanyabiashara kero nkHivi kwa nini zao la korosho linaletaga sintofahamu Sana?
Wakinunua watu wa ushirika kero,wakinunua wafanyabiashara kero nk
Shida iko wapi? Na nini kifanyike?
Shida iko wapi? Na nini kifanyike
Ingawaje ni jambo la kawaida mkulima kugomea bei kama anaona haina maslahi (hata hivyo) hili zao linaonekana kuna Umafioso mwingi sana ndani yake maana kila Msimu ni shida !! Na kubwa ni tamaa ya watu kutaka kupiga Super Profit kupitia kuwanyonya wakulima kwa bei ndogo.Hivi kwa nini zao la korosho linaletaga sintofahamu Sana?
Wakinunua watu wa ushirika kero,wakinunua wafanyabiashara kero nk
Shida iko wapi? Na nini kifanyike?
Huyu Memkwa haimtoshi,hadi Elimu MaalumPdiddy ni wakupelekwa Memkwa..
Kivipi au ni hisia zako tuu? Hivi wakiacha kila mkulima afe nalo mwenyewe itakuaje?Ingawaje ni jambo la kawaida mkulima kugomea bei kama anaona haina maslahi (hata hivyo) hili zao linaonekana kuna Umafioso mwingi sana ndani yake maana kila Msimu ni shida !! Na kubwa ni tamaa ya watu kutaka kupiga Super Profit kupitia kuwanyonya wakulima kwa bei ndogo.
LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
Mimi nimesoma heading tu mengine sijahangahika nayoUnakera kwa uandishi wako wa herufi kubwa tupu, unamgombeza nani?
Safi kabisa mkuu wangu Pdidy huu ujumbe umeeleweka na umefika kunakohusika....LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
Kwa hiyo waliopewa kongole ni walaji wa marekani, sisi walaji wa bongolala tutajibeba siyo? huu utaratibu wa kupiga mnada mazao yetu kwa mabeberu ndo yanapelekea matatizo ya kudumaa kwa watoto..........maana tunajikuta tunashangilia utopolo wa kupelekwa mazao yetu nje. Hivi kweli kwa soko la ndani kuna korosho hata moja inayotakiwa kwenda nje? acha watoto wetu waendelee kudumaa hadi akili zitakapotusogea.....
Dada ujarudi tu shule Hadi leo, miaka inaenda we bado kuandika kunakusumbua tu, pole sanaLEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA
WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA
DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO KESH
WAKULIMA WAHRSHIMIWE KAMA WALIVYOKUWA WAKIHESHIMIWA HUKO NYU.MA JAMAN
AHSANTE
Magufuli aliharibu Bei ya zao la korosho,itachukua muda bei kukaa sawaTimu kusifia ina mapambio mengi hadi hawakumbuki lipi walishaimba na lipi bado.