Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Good, hawa wahuni hawa … Ubaya waliokua wakimpambania ashawakimbia[emoji1787]
Hizi siasa za kiharakati hizi mwisho Lupango!
Hizi siasa za kiharakati hizi mwisho Lupango!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fujo zao wala hazina mwekekeo wowoteMtamsababishia mbowe aendelee ku2mikia jela.
Tatizo la chadema, badala kumaliza tatizo kisha watulie, wanakuja wengine kuanzisha msala 😁
Huko mikoani ambako hakuna hata Mawakili tutafungwa sana.Mungu ibariki CHADEMA
Fujo zao wala hazina mwekekeo wowote
Hizo ni zile zile kesi za kisiasa. Huko mikoani Jamaa alipandikiza chuki sana. Watu wanafungana tu.Tanzania ya sasa inahitaji watu jasiri kama nyinyi! Uchaguzi wa 2020 ulijaa upuuzi mwingi sana. Kiuhalisia hata hiyo hukumu ni ya uonevu tu.
Haiwezekani mgombea umeshinda kwa kura nyingi, halafu wakati wa kumtangaza mshindi, anatangazwa aliyeshindwa kutoka ccm huku akilindwa na mapoliccm! Hovyo kabisa.
ulitaka wafanyeje, waache wafanye kazi kama sheria inavyotaka.hawa mahakimu na majaji watailetea balaa nchi.
Anaenda ccm soonAcha waswekwe ndani,,,chama kinachoongozwa na akina lema na wenzie ni U.T.I kabisa.
Namuomba Lissu atafute chama, huko hakumfai.
Hizo ni zile zile kesi za kisiasa. Huko mikoani Jamaa alipandikiza chuki sana. Watu wanafungana tu.
Hakuna hata mawakili huko.
Miaka nane watatumikia lakini wahusika laana hadi kizazi cha nne ukok wao.
Mungu hasemi uongo
Anaenda ccm soon
Hata huyu naye atapewa kajicheo Shughuli imeishaSafi kabisa. Wajifunze kwa dr slaa aliamuwa kuachananao na kuteuliwa kama balozi
Hakuna namna anavyoweza kufanya. Moto wa chadema unatisha.Naona na huyu mama naye ameacha kurithi vitu maana! Ameona na yeye aendeleze pale alipoishia mtangulizi wake.
Hakuna namna anavyoweza kufanya. Moto wa chadema unatisha.
Hii anatumia kama vitisho.
Nje ya hapo Chadema ni moto wa kuotea mbali
Vita kati ya nani na nani?Wataipeleka kwenye vita soon
Ni kweli hawaonewi huruma maana mpaka mabomu wanapigwa tuChama cha kikanda hicho wactegemee kura ya huruma
Ni kweli kama ambavyo hao wanasiasa ccm unawafagilia sana lakini wanakupa chakula wewe na mkeoto be honest mimi huwezi kunitoa nilipo nikafanye lolote kwa ajili ya mwanasiasa huo ni ujinga mkubwa sana katika maisha .
ona sasa unakula miaka 8 k'zembe hata aliyesababisha hana hatapeleka hata kilo ya unga kwa familia
dunia hii ...
Lindi ndio mkoa anaotoka Kasimu MajaliwaSheria ni kitu cha ajabu sana.