Maandalizi ya kesi kubwa za wakubwaHuko eneo salama
---
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewafikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Ruben Mfune na Katibu Tawala Msaidizi Fedha Mkoa wa Kilimanjaro, Juma Masatu kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 51.
Lakini CV imeshasagiwa kunguniHakuna kesi hapo
Ova
Kwa ninavyofahamu inabidi wasimamishwe kazi huku wakiwa wanaendelea na shitaka lao...siku ikijulikana hawana hatia wanarudi kazini... Ndo maana ahata Waziri mkuu akirnsaha kukagua miradi akikuta kuna ubadhilifu, anamsimamisha kwanza kupisha uchunguziUhujumu Uchumi imefanyiwa amendment dhamana chini ya 300,000,000 mil unapewa na mahakama yoyote.
Ikishafila 300,000,001 hapo lazima uende mahakama kuu, na utoe Nusu ya thamani ndo unapewa dhamana
Kuna madaraja yalijengwa kwa bilioni kadhaa hao takukuru hawakuyaona?Huko eneo salama
---
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewafikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Ruben Mfune na Katibu Tawala Msaidizi Fedha Mkoa wa Kilimanjaro, Juma Masatu kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 51.
View attachment 2478460
Huko eneo salama
---
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewafikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Ruben Mfune na Katibu Tawala Msaidizi Fedha Mkoa wa Kilimanjaro, Juma Masatu kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 51.
View attachment 2478460
Kuna madaraja yalijengwa kwa bilioni kadhaa hao takukuru hawakuyaona?Huko eneo salama
---
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewafikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Ruben Mfune na Katibu Tawala Msaidizi Fedha Mkoa wa Kilimanjaro, Juma Masatu kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi milioni 51.
View attachment 2478460
Huyu Jamaa hajali mkuu.Lakini CV imeshasagiwa kunguni