OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jana kuna mtu anaitwa JAPHET KASILIRWA kutoka Rukwa, alikuwa mwamuzi msaidizi namba 1 Uwanja wa Taifa mechi ya Simba V Coastal.
Kayafanya mambo anayajua yeye pekeyake sababu binafsi nimefanya uchunguzi mdogo juu ya maamuzi yake ya offside zile lakini amekosa uungwaji mkono. Wote wanamuona hajui sheria namba 11 kwahiyo utafsiri wake wa sheria ni mdogo.
My take!
Huyu mwamuz msaidizii asiyejua sheria namba 11 inayohusiana na Kuotea (Offside) amefikaje hapo alipo? Offside ina amuliwa na mwamuzi msaidizi pekee na mwamuzi wa kati kazi yake ni kupuliza filimbi tu.
Kama kuna sheria mwamuzi msaidizi anapaswa kuijua vema mbele ya zote basi ni hii ya kuotea, ambayo yeye ndiye mwamuzi wake wa moja kwa moja. Sasa unampataje Kasilirwa kuchezesha Ligi Kuu huku uwezo wake juu ya hii sheria ukiwa ule wa jana? Unagundua kwamba kuna ujinga mahali umefanyika.
Waswahili husema "Ukiona Kobe mtini, ujue amepandishwa". Hii maana yake ni kwamba Kobe hawezi kupanda mti lazima apewe msaada, anayempandisha anajua kwanini amemuweka hapo mtini. Huyu mwamuzi amefikaje hapo tena akapewa na mechi ya 'Sebuleni'?
Kayafanya mambo anayajua yeye pekeyake sababu binafsi nimefanya uchunguzi mdogo juu ya maamuzi yake ya offside zile lakini amekosa uungwaji mkono. Wote wanamuona hajui sheria namba 11 kwahiyo utafsiri wake wa sheria ni mdogo.
My take!
Huyu mwamuz msaidizii asiyejua sheria namba 11 inayohusiana na Kuotea (Offside) amefikaje hapo alipo? Offside ina amuliwa na mwamuzi msaidizi pekee na mwamuzi wa kati kazi yake ni kupuliza filimbi tu.
Kama kuna sheria mwamuzi msaidizi anapaswa kuijua vema mbele ya zote basi ni hii ya kuotea, ambayo yeye ndiye mwamuzi wake wa moja kwa moja. Sasa unampataje Kasilirwa kuchezesha Ligi Kuu huku uwezo wake juu ya hii sheria ukiwa ule wa jana? Unagundua kwamba kuna ujinga mahali umefanyika.
Waswahili husema "Ukiona Kobe mtini, ujue amepandishwa". Hii maana yake ni kwamba Kobe hawezi kupanda mti lazima apewe msaada, anayempandisha anajua kwanini amemuweka hapo mtini. Huyu mwamuzi amefikaje hapo tena akapewa na mechi ya 'Sebuleni'?