Hawa wote ni wachezaji wa kawaida sana! Kuna yule Kotei na Juuko nadhani bado wàna uwezo wa kucheza hapo simba! simba wanapaswa kusajili beki wa kulia mwingine mzuri kama yule Bukungu ili asaidiane na Kapombe ambaye ameshakuwa na majeruhi ya mara kwa mara! Pia Tshabalala wamtafutie msaidizi ili asipokuwepo pengo lake lisionekane! Bado naona Yanga atachukua ubingwa kiulaini kabisa1. Aishi Manula
2.Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Salimu Mbonde
6. Jonas Mkude
7. Shiza Kichuya
8. Haruna Niyonzima
9. John Boko
10. Laudit Mavugo
11. Emanuel Okwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Mbeleko kutupwa jela hakuna ujanja hata nafasi ya nne hamgusiYaani kila msimu mna ndoto za mchana,haya endeleeni kuota mwisho wa msimu kidume kinabeba ndoo mnabaki fukuza kocha na kusajili upya.Hamna jipya watani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukosea hususani kwenye hz smart phones si ajabu na Ku edit Ndio mwelekeo sahihiJohn Book na Aishi Manila....
Naona ume edit hahaha
sawasawa mkuuKukosea hususani kwenye hz smart phones si ajabu na Ku edit Ndio mwelekeo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tambwe Ngoma Chirwa wachezaji wa kawaida sana Hao Hata beki ya LIpuli hawakatizi sema Tambwe a.k.a Babu akijiunga na timu ya Mbweni JKT kwa netball atatisha sanaKapombe .Erasto.Mbonde.Hussein. Ndio wawakabe Ajib.Tambwe.Ngoma.Chirwa ..haya masihara
12. Kamati ya masaa 72
We nawe utamwachaje Mzamiru1. Aishi Manula
2.Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Salimu Mbonde
6. Jonas Mkude
7. Shiza Kichuya
8. Haruna Niyonzima
9. John Boko
10. Laudit Mavugo
11. Emanuel Okwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapombe ana Ally Shomari na Tshabalala ana Jamal MwambelekoHawa wote ni wachezaji wa kawaida sana! Kuna yule Kotei na Juuko nadhani bado wàna uwezo wa kucheza hapo simba! simba wanapaswa kusajili beki wa kulia mwingine mzuri kama yule Bukungu ili asaidiane na Kapombe ambaye ameshakuwa na majeruhi ya mara kwa mara! Pia Tshabalala wamtafutie msaidizi ili asipokuwepo pengo lake lisionekane! Bado naona Yanga atachukua ubingwa kiulaini kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Aishi Manula
2.Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Erasto Nyoni
5. Salimu Mbonde
6. Jonas Mkude
7. Shiza Kichuya
8. Haruna Niyonzima
9. John Boko
10. Laudit Mavugo
11. Emanuel Okwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini? Boko ni pure striker wa mwishokapombe na boko hapo tumechemka..mkubali msikubali
majeruhi mengi yanamuandama....atakaa nje ya uwanja msimu mzima