Line Up yangu ya kumchinja Jogoo wa Anfield ili tumlie Pilau

Line Up yangu ya kumchinja Jogoo wa Anfield ili tumlie Pilau

Msimu ulopita kwani hatukuwanga na huyo kichaa wenu klop?

Inaonesha Umesahau Au Hukufatilia! Klopp Alikuja October 2015 Ambapo Kabla Hajaiandaa Timu Alicheza Mchezo Mmoja tu Wa Ligi na Man U na Mukashinda Goli Moja Lililofungwa na Rooney...
Lakini Tukakutana Tena Na Man U katika Europa Klopp Akawatandika 2 bila ndani ya Anfield, Na Tulipokuja OT tukatoka Sare ya 1 - 1.
Kwahiyo Klopp Kakutana mara Tatu na Man U, Kafungwa Moja, Katoka Sare Moja, na Kashinda Moja.

Kocha Ambaye Van Gaal Aliyejipigia ni Brendan Roggers....
 
1.Karius
2.clyne
3.mpiga penalty
4.matip
5.klavan
6.hendo
7.mane
8.WILJNALDUM
9.firmino
10.coutinho
11.Lallana

mziki wetu ni uleule, na mtaucheza
1.Karius
2.clyne
3.mpiga penalty
4.matip
5.klavan
6.hendo
7.mane
8.WILJNALDUM
9.firmino
10.coutinho
11.Lallana

mziki wetu ni uleule, na mtaucheza
1.Karius
2.clyne
3.mpiga penalty
4.matip
5.klavan
6.hendo
7.mane
8.WILJNALDUM
9.firmino
10.coutinho
11.Lallana

mziki wetu ni uleule, na mtaucheza
 
Inaonesha Umesahau Au Hukufatilia! Klopp Alikuja October 2015 Ambapo Kabla Hajaiandaa Timu Alicheza Mchezo Mmoja tu Wa Ligi na Man U na Mukashinda Goli Moja Lililofungwa na Rooney...
Lakini Tukakutana Tena Na Man U katika Europa Klopp Akawatandika 2 bila ndani ya Anfield, Na Tulipokuja OT tukatoka Sare ya 1 - 1.
Kwahiyo Klopp Kakutana mara Tatu na Man U, Kafungwa Moja, Katoka Sare Moja, na Kashinda Moja.

Kocha Ambaye Van Gaal Aliyejipigia ni Brendan Roggers....
Kumbe tuliwapakata? Sasa subiri na leo baada ya kuiandaa, usije ukaleta sababu nyengine tu
 
1.De gea
2.Valencia
3.Blind
4.Baily Fundi.
5.Smalling
6.Herrera kisheti
7.Rashford
8.Pogba
9.kadabra Mnyama
10.Mata
11.lingard
Hapo vijogooo lazma wafe

Kikosi chenyewe mkuu.
 
Man utd badilisheni kocha. Siyo kwa bus hiloooo la mourinhooooo
 
Man utd badilisheni kocha. Siyo kwa bus hiloooo la mourinhooooo

Hii inaitwa 6-3-1
1476744990544.jpg
 
Man utd badilisheni kocha. Siyo kwa bus hiloooo la mourinhooooo
Kwani Liver kuna mtu amewakataza kubadilisha kocha? Kama mliona shida kupanda bus mngepanda hata Bombadia za jpm. Mpira unachezwa kwa malengo, point moja ilikuwa muhimu kuliko kupoteza.
 
Back
Top Bottom