BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Duh ndugu naona umedadavua kitaalam watu wengi hawawezi kukusoma, ila muhusika jibu analo hapoAnachosema Linex ni sawa AJ alimfanyia uhuni maana ukiangalia quality kubwa ya video ya Salima ni 480mp4 ambayo ni low ukizngatia sahv quality kubwa ya video ni 1080HD pixels kwa video nyingi zinazotoka.
Kwaio kukataliwa na Tv Stations nyingine ni sawa maana wanataka kurusha kitu quality kiwafikie watazamani na ukizingatia sahv tv ziko katka technology kubwa big screen wides Tv kwa 480mp4 haiwez kufit kwenye Tv ya Inch 55 ukaenjoy picture lazma vizuri lazma iwe 1080HD.
Wema kwa Ubaya ilikua na good quality kushinda Salima.
Ukiachaga ushabiki una point balaa.Haaaa haaa dance with me ya Juma ilitoka mwaka gani fananisha mapinduzi ya video kipindi kile na leo alafu changamsha ubongo wako budget ni kila kitu kwa sasa kwenye video zamani directors walikua wanakomaa bure kutengeneza jina sasa ivi pesa mbele nenda muulize Nisher video yake ya kwanza na Weusi alipewa nini(bureeee) kabisa sasa ivi hakuna kubahatisha weka mpunga watu walete vifaa na materials kwa ajili ya video narudi 5 milioni ni haiko mbali na video za kipaimara.
jamaa nilimsikia, aisee nildharau kweli, sijui alienda studio akiwa amevuta? yaani jamaa kamuumbua jamaa hadi dah, aige mfano kwa akina diamond aisee, jamaa mimi sio shabiki wa kazi zake lakini ana nidhamu sana huwezi kusikia amem diss mtu live hata kama ameulizwa maswali ya kimtego kama ya salamaHaka kajamaa inabidi kawe na akiba ya maneno..Haya sio maneno ya kuongea kwenye media..Anajiharibia
Umeona ee, mfano mzuri ni ule wimbo wa 20% 'Tamaa mbaya', ile video Kama imechukuliwa na simu ila ilimuweka juu Sana kutokana na uzuri wa audio, so asimsingizie Adam kufeli kwa salimaWalisema wahenga "penye nia pana njia" huyu ndugu hana nia ndio maana hata njia haoni.
Nakumbuka Nay baada ya kutoridhishwa na video alirekodi upya na kuachana na ile ya awali, na sidhani kama mpaka leo hii Nay anaendelea kulia kuhusu ile video....kwa nini? kwa sababu Nay alikuwa na nia hivyo akaiona njia..aka move on.
Jamaa analia kila siku kuhusu hiyo video moja as if ndio ngoma pekee aliyonayo mpaka sasa.
Hebu akae chini apime kama hayo malalamiko yana/yatamsaidia kiasi gani kimuziki?
Ngoma kama ni ya kupendwa itapendwa tu, hata kama video yake itakuwa haitazamiki.
Kuna wimbo wa eddy kenzo wa "Maria rosa" video sio official ina comedians wawili wanacheza mwanzo mpaka mwisho lakini mpaka sasa ina view mil 4, na ipo official video yake........sasa kinachovuta views pale ni video au audio?...mimi sijui.
Ngoma kali ni kali tu, ikikubalika you tube na kwingine sidhani kama tv zitaakuumiza kichwa.
Quality ya video kwenye youtube haina maana kuwa hiyo video haikutengenezwa kwenye quality ya hd, inawezekana waliupload kwa quality ndogo kupunguza size ya file. Ila wakipeleka kwenye TV stations wanapeleka full quality.Anachosema Linex ni sawa AJ alimfanyia uhuni maana ukiangalia quality kubwa ya video ya Salima ni 480p ambayo ni low ukizngatia sahv quality kubwa ya video ni 1080HD pixels kwa video nyingi zinazotoka.
Kwaio kukataliwa na Tv Stations nyingine ni sawa maana wanataka kurusha kitu quality kiwafikie watazamani na ukizingatia sahv tv ziko katka technology kubwa big screen wides Tv kwa 480p haiwez kufit kwenye Tv ya Inch 55 ukaenjoy picture lazma vizuri lazma iwe 1080HD.
Wema kwa Ubaya ilikua na good quality kushinda Salima.
Kuna video zina mpaka Mb 40 lkn ni 1080HD kwaio sidhani kama waliUpload 480p ili kupunguza ukubwa wa file hapana. nadhani linex alikabidhiwa video yake ikiwa 480p kama final product course kama angepewa 1080p sio mjinga aweke 480p YouTube.Qual
Quality ya video kwenye youtube haina maana kuwa hiyo video haikutengenezwa kwenye quality ya hd, inawezekana waliupload kwa quality ndogo kupunguza size ya file. Ila wakipeleka kwenye TV stations wanapeleka full quality.
Pamoja na hayo video sio nzuri na wimbo sio mzuri kihivyo.
Lawama hapa wagawane 5mil ni ndogo sana lakini video pia imekosa basics kabisa za kuifanya iwe watchable.
Bundle baba, Linex na bangi zake akaamua aweke 480p haha!Kuna video zina mpaka Mb 40 lkn ni 1080HD kwaio sidhani kama waliUpload 480p ili kupunguza ukubwa wa file hapana. nadhani linex alikabidhiwa video yake ikiwa 480p kama final product course kama angepewa 1080p sio mjinga aweke 480p YouTube.
Haha inawezekana maana nishawah kumuona mitaa flani ya Mbezi beach dah sikumuelewa kabisa nikasema labda ni stress za mziki..Bundle baba, Linex na bangi zake akaamua aweke 480p haha!