BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Anachosema Linex ni sawa AJ alimfanyia uhuni maana ukiangalia quality kubwa ya video ya Salima ni 480p ambayo ni low ukizngatia sahv quality kubwa ya video ni 1080HD pixels kwa video nyingi zinazotoka.
Kwaio kukataliwa na Tv Stations nyingine ni sawa maana wanataka kurusha kitu quality kiwafikie watazamani na ukizingatia sahv tv ziko katka technology kubwa big screen wides Tv kwa 480p haiwez kufit kwenye Tv ya Inch 55 ukaenjoy picture lazma vizuri lazma iwe 1080HD.
Wema kwa Ubaya ilikua na good quality kushinda Salima.
Kwaio kukataliwa na Tv Stations nyingine ni sawa maana wanataka kurusha kitu quality kiwafikie watazamani na ukizingatia sahv tv ziko katka technology kubwa big screen wides Tv kwa 480p haiwez kufit kwenye Tv ya Inch 55 ukaenjoy picture lazma vizuri lazma iwe 1080HD.
Wema kwa Ubaya ilikua na good quality kushinda Salima.