Huyu ni msanii kutokea kule kigoma amefanya ngoma kali miaka kadhaa iliyopita nyimbo ya mwisho kufanya vizuri ilikuw ile aliyemshirikisha diamond salima
ila sasa hiv mshkaji anajitahidi kurudi lakini kama watu hawamwelewi tatizo liko wap anakwama wapi
katoa nyimbo yake mpya inakwenda kwa jina la am sorry lakini kama bado hivi hajajipanga video ya kawaida sana mimi nazan mshkaji anakosa management
Linex hayuko serious na mziki nafikiri hata management yake kama anayo haijitambui.Linex aliwahi pewa mualiko Nairobi na Bahati akalipiwa flight na kuahidiwa kufikia 5 star hotel lakini Linex hakwenda.Pia anaendekeza sana bange kiasi kwamba hawez kufanya mziki ipasavyo.Baadae wataanza kulaumu media zinawabania kumbe yeye haendi na muda.