Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Huyu ni msanii kutokea kule kigoma amefanya ngoma kali miaka kadhaa iliyopita nyimbo ya mwisho kufanya vizuri ilikuw ile aliyemshirikisha diamond salima
ila sasa hiv mshkaji anajitahidi kurudi lakini kama watu hawamwelewi tatizo liko wap anakwama wapi
katoa nyimbo yake mpya inakwenda kwa jina la am sorry lakini kama bado hivi hajajipanga video ya kawaida sana mimi nazan mshkaji anakosa management
ila sasa hiv mshkaji anajitahidi kurudi lakini kama watu hawamwelewi tatizo liko wap anakwama wapi
katoa nyimbo yake mpya inakwenda kwa jina la am sorry lakini kama bado hivi hajajipanga video ya kawaida sana mimi nazan mshkaji anakosa management