lingerie.......

pauline

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2010
Posts
650
Reaction score
140
wajemeni hivi ni mimi tu au kuna wanawake wengine pia hizo G-strings na bikini hatuna mzuka navyo??am more comfortable nikivaa pants kubwa ila wakati wa kusaula na shemeji yenu naona aibu kweli......huwa nawish ningevaa kitu more attractive instead,.........:dance::biggrin1:
 
duhhhh

yaani hapa appetite na wewe imeshanitoka..
unavaaa bukta yenye logo ya bob marley???????
 
Wanaume wengi huwa hawaconcentrate na ulichovaa, mzuka ukishapanda mawazo yote yanakuwa kwenye tunda!
 
PHP:
 ila wakati wa kusaula na shemeji yenu naona aibu kweli......huwa nawish ningevaa kitu more attractive instead,....
Hayo mambo ya wawili chumbani kwenu we kauka nayo tu, hatutakiwi kuyasema, unless kama ni ugonjwa(wa ki-medical)...Tuongelee G-string tu.
 
Reactions: Mbu
duhhhh

yaani hapa appetite na wewe imeshanitoka..
unavaaa bukta yenye logo ya bob marley???????


The Boss,na wewe unapatwa mzuka mtu akivaa G string?mie siko comfortable nikivaa lazima nikae kimachale:biggrin1: ..mwenzio navaa zile MADE IN TAIWAN kama unazijua :biggrin1:
 

haya nimekuelewa.sorry kama nimekukwaza......
 


Kwanza nakupongeza kwa confidence yako ya kusema kweli (ingawa naacha kushanga topic zako to me.... very interesting)... Dear in short naomba ubadilike.... other wise kama unavaa zile hot pants.... then its another story....
 
thanks,i need to loose weight i cant see myself wearing this,au BAK nitafutie nyengine ya watu wanene...lol:mod::A S-rose:

ukishapunguza unene hutaihitaji tena hiyo πŸ™‚ ni bora tu ufanye mazoezi in order to reduce few pounds halafu kitu kama hicho hapo juu kitakutosha bila matatizo yoyote.
 
Pau, sasa vipi tena? Vya ndani vinafikaje tena huku jamvini?
Anyway, nadhani comfortable na kila roho inapenda na kinakufanya ujisikie secure. LAKINI, ukumbuke kwamba "jigijigi" hufanyi peke yako. Lazima uzingatie mazingira ili usijeukajikuta unashusha mzuka wa mwenzio badala ya kuupandisha.
 
thanks,i need to loose weight i cant see myself wearing this,au BAK nitafutie nyengine ya watu wanene...lol:mod::A S-rose:

Mpenzi with this comment.... sasa nimekupata...
 
nanihiii i hope umeona hii

Mtumie link......

Pauline sio lazima uvae hivyo vijikamba...kuna hot pants na hipster za ukweli tu...unakua comfy na kupendeza juu achana na zile za wabibi!!!
 
Mambo yangu haya lol
lakini nikiingia sita kwa sita nakitupa kuleeee

we Gaga wewe......wengine tupo kazini hapa......dah


Pauline.....nimeipenda style yako, mwanamke aibu kidogo inaswihi bana.....ila napata mashaka kama KWELI vi G_string hujawahi/huvitumii...eeeh mama...:mod::tonguez:
 
Mpenzi with this comment.... sasa nimekupata...


LOL...sweetie kumbe ulikuwa 'hujampata' bado..sometimes she can be so controversial.....majuzi tu nilimwona akitoka kisimani sema kuna kondoo mmoja alikuwa amepotea ikabidi nimfate, otherwise ningemuuliza kidogo mambo flani ivi:ranger:πŸ™„
 
LOL...sweetie kumbe ulikuwa 'hujampata' bado..sometimes she can be so controversial.....majuzi tu nilimwona akitoka kisimani sema kuna kondoo mmoja alikuwa amepotea ikabidi nimfate, otherwise ningemuuliza kidogo mambo flani ivi:ranger:πŸ™„


lol...lol...lol... Really.. Nimeshindwa la ku-comment sweetie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…