ila wakati wa kusaula na shemeji yenu naona aibu kweli......huwa nawish ningevaa kitu more attractive instead,....
duhhhh
yaani hapa appetite na wewe imeshanitoka..
unavaaa bukta yenye logo ya bob marley???????
Hayo mambo ya wawili chumbani kwenu we kauka nayo tu, hatutakiwi kuyasema, unless kama ni ugonjwa(wa ki-medical)...Tuongelee G-string tu.PHP:ila wakati wa kusaula na shemeji yenu naona aibu kweli......huwa nawish ningevaa kitu more attractive instead,....
wajemeni hivi ni mimi tu au kuna wanawake wengine pia hizo G-strings na bikini hatuna mzuka navyo??am more comfortable nikivaa pants kubwa ila wakati wa kusaula na shemeji yenu naona aibu kweli......huwa nawish ningevaa kitu more attractive instead,.........:dance::biggrin1:
thanks,i need to loose weight i cant see myself wearing this,au BAK nitafutie nyengine ya watu wanene...lol:mod::A S-rose:
thanks,i need to loose weight i cant see myself wearing this,au BAK nitafutie nyengine ya watu wanene...lol:mod::A S-rose:
nanihiii i hope umeona hii
Mambo yangu haya lol
lakini nikiingia sita kwa sita nakitupa kuleeee
Mpenzi with this comment.... sasa nimekupata...
LOL...sweetie kumbe ulikuwa 'hujampata' bado..sometimes she can be so controversial.....majuzi tu nilimwona akitoka kisimani sema kuna kondoo mmoja alikuwa amepotea ikabidi nimfate, otherwise ningemuuliza kidogo mambo flani ivi:ranger:π