lingerie.......

Pauline tafuta kama hizi...hata ukiwa na mwili mkubwa kidogo bado unaweza kupendeza mradi tu uvae saizi yako....yani zisikubane mpaka kugawa/tenganisha nyama!!

Thanks Lizzy nimezipenda......
 
Sasa na mambo yale ya goti utavaaje G? maana nasikia wakati mwingine vinatiririka vyenyewe

mambo ya goti ndio yapi hayo mpendwa???nini vinatiririka tobailahi?:biggrin1:
 
 


kwahiyo unavaaga bukta bibie?
 
kwahiyo unavaaga bukta bibie?

kiongozi na wewe umepoteaga kinamna ila naona tupo pamoja...kuna mahali nimeona umeongea kwa busara kama kawaida yako....
 
kweli Kaizer sivitumii,nataka niimprove nimsuprize mister ila sijui nianzie wapi? i guess kwa watu wanene kama mimi huu ni mtihani.....:biggrin1:

Njoo tuanze na mimi kwanza unifanyie supprise...lol
 
LOL...sweetie kumbe ulikuwa 'hujampata' bado..sometimes she can be so controversial.....majuzi tu nilimwona akitoka kisimani sema kuna kondoo mmoja alikuwa amepotea ikabidi nimfate, otherwise ningemuuliza kidogo mambo flani ivi:ranger:🙄

Kaizer.......long time!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…