Lini Simba itafikia ubora wa Yanga Ligi Kuu? Kocha aondoke/abaki?

Lini Simba itafikia ubora wa Yanga Ligi Kuu? Kocha aondoke/abaki?

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Nikiwa kama shabiki wa Simba huwa ninaumia sana kuona miaka yote sisi tunakuwa wasindikizaji. Mbaya zaidi kila tunapokutana na watani zetu tunaishia kuchapwa tukijitahidi sana ni draw.

Nadhani ifike wakati kocha apewe malengo kwamba asipoweza kuchukua ubingwa wa ligi au walau kuifunga Yanga, basi tuachane. Lini sisi tutafaidi utamu wa ubingwa? Makombe yote miaka yote inakwenda huko Jangwani.

Nini kifanyike Simba tuweze kuipiku Yanga?
 
Nikiwa kama shabiki wa Simba huwa ninaumia sana kuona miaka yote sisi tunakuwa wasindikizaji. Mbaya zaidi kila tunapokutana na watani zetu tunaishia kuchapwa tukijitahidi sana ni draw.

Nadhani ifike wakati kocha apewe malengo kwamba asipoweza kuchukua ubingwa wa ligi au walau kuifunga Yanga, basi tuachane. Lini sisi tutafaidi utamu wa ubingwa? Makombe yote miaka yote inakwenda huko Jangwani.

Nini kifanyike Simba tuweze kuipiku Yanga?
Washabiki wa hovyo kama ww malengo ya timu sio kuifunga yanga au yanga kuifunga simba tu kubalini yanga kajipanga japo naye kipindi cha nyuma aliteseka jipangeni tu nakiri sio mfuatiliaji sana wa michezo ila hata nikisikiliza mara moja moja napata taarifa kuwa yanga now yupo kwenye ubora wake. Simba anaweza mfunga yanga home and away na bado ligi asiwe bingwa na huwezi ukawa na wachezaji mataptapu alafu ukatarajia ufanye vyema. Kubalini jipangeni hata yanga bado wanaendelea kujiimarisha hawajalala usingizi
 
Kwani kihistoria mpaka sasa Yanga imechukua mara ngapi na Simba Mara ngapi tangu league ianze?

Au mnazungumzia hii misimu michache iliyopita mliyochukua??[emoji23][emoji23][emoji23]

Makolo hamnaga akili
Wewe na wala mihogo wenzako ni mataahira

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Washabiki wa hovyo kama ww malengo ya timu sio kuifunga yanga au yanga kuifunga simba tu kubalini yanga kajipanga japo naye kipindi cha nyuma aliteseka jipangeni tu nakiri sio mfuatiliaji sana wa michezo ila hata nikisikiliza mara moja moja napata taarifa kuwa yanga now yupo kwenye ubora wake. Simba anaweza mfunga yanga home and away na bado ligi asiwe bingwa na huwezi ukawa na wachezaji mataptapu alafu ukatarajia ufanye vyema. Kubalini jipangeni hata yanga bado wanaendelea kujiimarisha hawajalala usingizi
Huyo ni mshabiki wa Yanga Simba hakuna vilaza sampuli ya huyo taahira mleta uzi huu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa kama shabiki wa Simba huwa ninaumia sana kuona miaka yote sisi tunakuwa wasindikizaji. Mbaya zaidi kila tunapokutana na watani zetu tunaishia kuchapwa tukijitahidi sana ni draw.

Nadhani ifike wakati kocha apewe malengo kwamba asipoweza kuchukua ubingwa wa ligi au walau kuifunga Yanga, basi tuachane. Lini sisi tutafaidi utamu wa ubingwa? Makombe yote miaka yote inakwenda huko Jangwani.

Nini kifanyike Simba tuweze kuipiku Yanga?
Umeanza kushabikia Simba mwaka Jana
 
Simba Ina TATIZO kubwa Sana Kubwa mno kati kati ya Uwanja.
6,8.
Hawa ndio key players key players.
Hawa ndio wanatakiwa wajue falsafa ya timu iwaingie Akilini kweli kweli.
Wapikwe waive.

Falsafa ya LUNYASI ni ya pass pass, pass zipigwe chini Mpila utulie chini.

Mifano.
Barcelona walikuwa na xavi na iniesta 2019-
Xavi na iniesta tu walikuwa wanafikiaha pass 1000.

Yanga wakabadilisha Mfumo kwa kuwa na Bangala , Aucho na Feisal.
TIMU ikawa inacheza kwa pass vizuri kabisa.

Sasa Simba kiungo kina kanute na Mzamiru.
Wana kaa off position.
Wakipitwa kwenye counter ni Kadi za Njano.
Wanakaribisha mashambulizi muda wote kwa Inonga na Onyango.

Simba inategemea kriss za shabalala na kapombe sio mpira wao Tena wa pass Fupi Fupi.

6,8,10 ndio wanaunganisha timu nzima hapa kwenye 6,8 Simba wamefeli kabisa.
Yanga wamefaulu sana.

NADHANI NIMEELEWEKA VIZURI.
Wao wanajua kukaba
 
Shida ya kulala sebuleni kwa shemeji..unachelewa kulala unawahi kuamka..lazima kichwa kiwe kibovu
 
Naona Makolo wanapita free pale umesema Yanga inajipiga Simba kama Ngoma! They do not comment! Inaonekana hapo ndo panauma zaidi Makolo ila uwezo hawana Sasa hakuna la kufanya zaidi ya kupiga kimya!
 
CAF wanaita Yanga ni Tanzanians na Simba Sc ni Tanzanian Giants. Ulewa hapo
 
Nini kifanyike Simba tuweze kuipiku Yanga?

1679474177942.png
 
Viuzi vingiii ila vya kipuuzi puuzi 😆 😆 😆
 
Back
Top Bottom