Lini Tanzania ilikuwa kisiwa cha Amani? Na lini Mtanzania akawa mkarimu?

Lini Tanzania ilikuwa kisiwa cha Amani? Na lini Mtanzania akawa mkarimu?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Niambie lini Tanzania ilikuwa kisiwa cha Amani? Tunadanganyana tu awamu zote zilizopita kulikuwa na mjuaji,kuwekwa vizuizini na mauaji tunadanganyana tu ila kwasasa kwasababu vyombo vya habari ni vingi kwahiyo tunapata kwa haraka sana hii ilikuwa au imekuwa kisiwa cha mauaji tokea hapo soma historia au fuatilia vizuri sio kuwa brainwashed Tu

Eti wengine wanasema Mtanzania ni mkarimu wapi? Toka lini Mtanzania akawa mkarimu? Mtanzania huyu huyu wa mauji ya albino,vikongwe na matukio kadhaa ya kutisha kiujumla tulidanganywa na tunaendelea kujidanganya Tu.
 
Mbona Una hasira Sana nini kwani?

Kunywa maji mengi,tulia.
Ugumu wa maisha ni Kwa kila mtu ,ridhika na ulicho nacho
 
Back
Top Bottom