Tunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.
Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.
Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.
Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.
Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.
Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.
Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.