Lini tutakuwa Nchi moja, Serikali Moja? Jamhuri ya Tanzania isiwepo kabisa ile Muungano

Lini tutakuwa Nchi moja, Serikali Moja? Jamhuri ya Tanzania isiwepo kabisa ile Muungano

Wa-znzbar em njooni huku
tupo tunawatizama TU
WE ARE FOLLOWING THE DEVELOPMENT WITH GREAT CONCERN
THEY APPROCHING THE RED LINE

AFRO SHIRAZ PART
tz}asp.gif
 
HII sasa ni hamisha mawazo ya uchaguzi mkuu uliopita na matokeo ya ajabu,mada za kuuchokonoa muungano zaanzishwa mawazo yaelekezwe huko mbilinge za matokeo ya uchaguzi mkuu zisahaulishwe
 
tupo tunawatizama TU
WE ARE FOLLOWING THE DEVELOPMENT WITH GREAT CONCERN
THEY APPROCHING THE RED LINE

AFRO SHIRAZ PART
😂😂😂
Sasa hilo shoka ndo utalitumiaje mkuu?🙄
 
Ndo mmetumwa huko mje muanzishe mada za aina hii Mimi mtanganyika ila shiitaki muungano waachieni wenyewe wazanzibar nchi yao na kamwe haitatokea kuwa nchi moja
 
😂😂😂
Sasa hilo shoka ndo utalitumiaje mkuu?🙄
WAPELEKE MSWAADA BUNGENI WA KUFUTA SMZ SI WANA 2/3
ILI KUWE NA SEREKALI MOJA
hahahahahahahahaahhaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
YA TANGANYIKA
kuna baadhi ya wadanganyika wana mawazoo yakipuuzi kweli
baada kushuhulika na kuunganisha wilaya kwa barabara za lami na umeme vijijini wao wanawaza zanzibar kuwa mkoaa
 
Ulitaka kusikia kauli wa wazanzibari?. Umechelewa. Mzanzibari atakae jitambulisha kama mtanzania ni wakuja. Mwenye asili ya zanzibar huwezi kusikia ana jitambulisha kama mtanzania. Na parapanda limekwisha pigwa. Muulizeni Kabudi Palamagamba. Asiwafiche. Anajuwa kinacho endelea.
 
Bunge la February? Mkuu kama jambo limetamkwa kwenye katiba haliondolewi kizembe hivyo!

Huanza kura ya maoni nchi nzima juu ya mbadiliko ya katiba, then katiba iliyopo ibadilishwe kwanza..n.k n.k ni mchakato mrefu
 
Kwani hapo awali zenji ilikua wapi na ilikua inatambulika kama nchi au kijisehemu tu?
 
1. Nenda China, UK, Kenya hata Canada. Ndugu zetu Wanzibar hawajitambulishi km Watanzania. Nilisema na kijana mmoja wa Kipemba Ubeligiji licha ya kutumia passport ya Tanzania lakini alikuwa anajitambulisha nchi yake ni Zanzibar na siyo Tanzania. Kuundoa ubara na uvisiwani dawa ni kuwa na serikali 1 tu...

Acheni kulazimisha watu kitu wasichokitaka. Mnaona huo muungano ni wa maana sana, acheni watu waishi watakavyo na sio mtakavyo. Hilo bunge halijachaguliwa na wananchi bali vyombo vya dola, litapata wapi uhalali wa kuwapangia watu aina ya muungano?
 
Mshindwe na mlegee, Zanzibar itabaki kuwa Zanzibar. Na hamtaweza kuimeza abadan kwa uwezo wa muumba mbingu na ardhi!
 
Kama unavyoona zinatumika mbinu na hila tofauti kuitawala Zanzibar ndivyo dalili zinaonesha wazi Wazanzibar wamechoka na mwisho unakaribia.
Ilo la kuifanya Zanzibar mkoa halitowahi kutokea sababu ndilo litakalo iweka huru zaidi ya vile wewe unadhani. Vuta picha kipindi cha mihadhara ya uamsho Wazanzibar waliacha tofauti zao wakawa wamoja na usizani wamesahau. Mfano mwengine angalia utawala wa Amani Jr. siku za mwisho alipobadili katiba ya Zanzibar walisahau uccm na ucuf wakabadili katiba kuijengea mazingira ya ulinzi zanzibar na usidhani yalifanyika kwa bahati mbaya.
 
Nchi iwe na serikali moja, hata kura zikipingwa Tanganyika ni wengi tutashinda hivyo namimi napendekeza serikali moja ili kuondoa ubaguzi na kuleta mshikamano kwa vizazi vinavyokuja.
 
Nchi iwe na serikali moja, hata kura zikipingwa Tanganyika ni wengi tutashinda hivyo namimi napendekeza serikali moja ili kuondoa ubaguzi na kuleta mshikamano kwa vizazi vinavyokuja.
Ndugu kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar mabadiliko km hayo lazima waamue wenyewe. Katiba inataka kama wazanzibar wapige kura ya maoni kuamua hivyo hata kama bara wataamua kwa upande wao basi ni bure tu
 
  • Thanks
Reactions: lum
Nchi iwe na serikali moja, hata kura zikipingwa Tanganyika ni wengi tutashinda hivyo namimi napendekeza serikali moja ili kuondoa ubaguzi na kuleta mshikamano kwa vizazi vinavyokuja.
hhahahaah yaani kweli kuna ndoto za jinamizi. Inaonyesha ndugu yangu umekula muho ukavimbiwa sasa usiku una ndoto za maajabu. Dunia imegeuka hii . Munatengwa na kila mtu sasa. Hata majirani wanaogopa kuwa rafiki wa TZ. Bado tu hamuja fahamu.
 
Tunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.

Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.

Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.

Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.
Yani tunahangaika kuwa na serikali tatu wewe unaongelea serikali noja as if Zanzibar na Tanganyika ni nchi moja??

The fact kwamba tunaongea wote kiswahili na tuna maingiliano ya kijamii bado haifanyi Zanzibar kuwa nchi moja na Tanganyika.

Ili huu Muungano uwe na tija, lazima iwepo SMZ, Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika then iwepo JMT. Mengineyo sasa kuhusu muundo na utendaji wa JMT ndio yanajafilika kwenye Memorandum.

Ukiongelea Serikali moja hapo ndio utafanya hata maongezi yasiwepo.
 
Tunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.

Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.

Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.

Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.
Yani tunahangaika kuwa na serikali tatu wewe unaongelea serikali noja as if Zanzibar na Tanganyika ni nchi moja??

The fact kwamba tunaongea wote kiswahili na tuna maingiliano ya kijamii bado haifanyi Zanzibar kuwa nchi moja na Tanganyika.

Ili huu Muungano uwe na tija, lazima iwepo SMZ, Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika then iwepo JMT. Mengineyo sasa kuhusu muundo na utendaji wa JMT ndio yanajafilika kwenye Memorandum.

Ukiongelea Serikali moja hapo ndio utafanya hata maongezi yasiwepo.
 
Tunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.

Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.

Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.

Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.
uko sahihi
 
Back
Top Bottom