tupo tunawatizama TUWa-znzbar em njooni huku
WE ARE FOLLOWING THE DEVELOPMENT WITH GREAT CONCERN
THEY APPROCHING THE RED LINE
AFRO SHIRAZ PART
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupo tunawatizama TUWa-znzbar em njooni huku
😂😂😂tupo tunawatizama TU
WE ARE FOLLOWING THE DEVELOPMENT WITH GREAT CONCERN
THEY APPROCHING THE RED LINE
AFRO SHIRAZ PART
WAPELEKE MSWAADA BUNGENI WA KUFUTA SMZ SI WANA 2/3😂😂😂
Sasa hilo shoka ndo utalitumiaje mkuu?🙄
1. Nenda China, UK, Kenya hata Canada. Ndugu zetu Wanzibar hawajitambulishi km Watanzania. Nilisema na kijana mmoja wa Kipemba Ubeligiji licha ya kutumia passport ya Tanzania lakini alikuwa anajitambulisha nchi yake ni Zanzibar na siyo Tanzania. Kuundoa ubara na uvisiwani dawa ni kuwa na serikali 1 tu...
Nitume namba yako ya simu kwenye inbox yangu.Muungano umewapa waunguja na wapemba ardhi popote Tanzania. Nawaza vile muungano ukifa watatuachia kila kitu warudi kuanza A
Ngoja wale wa majimbo waje☺☺☺
Ndugu kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar mabadiliko km hayo lazima waamue wenyewe. Katiba inataka kama wazanzibar wapige kura ya maoni kuamua hivyo hata kama bara wataamua kwa upande wao basi ni bure tuNchi iwe na serikali moja, hata kura zikipingwa Tanganyika ni wengi tutashinda hivyo namimi napendekeza serikali moja ili kuondoa ubaguzi na kuleta mshikamano kwa vizazi vinavyokuja.
hhahahaah yaani kweli kuna ndoto za jinamizi. Inaonyesha ndugu yangu umekula muho ukavimbiwa sasa usiku una ndoto za maajabu. Dunia imegeuka hii . Munatengwa na kila mtu sasa. Hata majirani wanaogopa kuwa rafiki wa TZ. Bado tu hamuja fahamu.Nchi iwe na serikali moja, hata kura zikipingwa Tanganyika ni wengi tutashinda hivyo namimi napendekeza serikali moja ili kuondoa ubaguzi na kuleta mshikamano kwa vizazi vinavyokuja.
Yani tunahangaika kuwa na serikali tatu wewe unaongelea serikali noja as if Zanzibar na Tanganyika ni nchi moja??Tunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.
Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.
Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.
Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.
Yani tunahangaika kuwa na serikali tatu wewe unaongelea serikali noja as if Zanzibar na Tanganyika ni nchi moja??Tunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.
Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.
Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.
Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.
uko sahihiTunahangaika sana mara kero mara mauaji mara kulazimishana mtafaruku mkubwa sana ,nahisi ni bora sasa iamuliwe tu na Wabunge tunao wengi sana wakutosha na ziada,tuondoe lile utata Jamhuri ya Muungano liwepo jina zuri la Jamhuri ya Watu wa Tanzania.
Tunaondoa Baraza la Wawakilishi, tunaondoa Serikali ya Mapinduzi tunaondoa vikosi visivyo na kichwa wala miguu wenyewe wanaviita Vikosi vya SMZ muajiriwa atakuwa na hiari yake kuendelea kama muajiriwa wa JWTZ vinginevyo akae nyumbani na kuendelea uraiani na wale JKU wanakuwa JKT.
Itakuwa hakuna tena mambo ya kero zisizokwisha wala chuki za huyu mpemba huyu muunguja ,inawezekana kabisa kwani huu ndio wakati muafaka kabisa ,kuepuka lawama zisizo kwisha.
Ni rai tu naiona inamuelekeo mwema sana.