- Thread starter
- #21
Zama zimebadilika nduguKumbukumbu zinaonyesha wapelestina waliamua kumsadia idd amini dhidi yetu wakati wa vita na uganda. Wapambane na hali yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zama zimebadilika nduguKumbukumbu zinaonyesha wapelestina waliamua kumsadia idd amini dhidi yetu wakati wa vita na uganda. Wapambane na hali yao
Na marekani pia wanatakiwa walipishwe kwa kuwapa waisrael silaha za kuua wapalestinaIran anayewapa Hamas na Hizbollah makombora na silaha nyingine ili kuhakikisha mgogoro baina ya Israel na Palestine hauishi, kwa nini asilibebe jukumu la kuwatunza Wapalestina baada ya kuwasababishia madhira yanayoendelea?
UN walistshili kuibana Iran na kuilazimisha kulipa fidia kwa maafa yote yaliyotokea huko Palestine na Israel.
Samia na CCM yake wapo bize kuwaza 2025 mpaka 2035! Tanzania tena sio mkombozi wa wanyonge, Jwtz,ilikimbia magaidi wa msumbiji, Rwanda ikaenda ikawamaliza! Sasa hv, Gaza kuna Vita, wizara ya Mambo ya nje, imelala, Rwanda tayari imepereka msaada!Ni wajibu wetu kama taifa kusaidia ndugu zetu Palestina katika hali ya huzuni waliyonayo kama tulivyofanya Malawi hata Zimbabwe. Na karibuni Uturuki.
Tumeona wanachama wa Arab league wamepeleka vyakula na nguo. Sisi lini tunapeleka mifugo na msaada wa ushauri nasaha (counselling)?
NB: Katika msafara wa kusafirisha misaada hiyo wajumbe 50 lazima watokee Zanzibar.
Wabillah Taufiq
Mbona Palestine vipi Ukraine sio watu au wanastaili kuuawa na urusi?Ni wajibu wetu kama taifa kusaidia ndugu zetu Palestina katika hali ya huzuni waliyonayo kama tulivyofanya Malawi hata Zimbabwe. Na karibuni Uturuki.
Tumeona wanachama wa Arab league wamepeleka vyakula na nguo. Sisi lini tunapeleka mifugo na msaada wa ushauri nasaha (counselling)?
NB: Katika msafara wa kusafirisha misaada hiyo wajumbe 50 lazima watokee Zanzibar.
Wabillah Taufiq
Iran ndio msababishaji wa haya yote anatoa msaada kwa magaidi amewasaidia makombora ya kurusha IsraelNi wajibu wetu kama taifa kusaidia ndugu zetu Palestina katika hali ya huzuni waliyonayo kama tulivyofanya Malawi hata Zimbabwe. Na karibuni Uturuki.
Tumeona wanachama wa Arab league wamepeleka vyakula na nguo. Sisi lini tunapeleka mifugo na msaada wa ushauri nasaha (counselling)?
NB: Katika msafara wa kusafirisha misaada hiyo wajumbe 50 lazima watokee Zanzibar.
Wabillah Taufiq
Huko kaka sio kwa kwenda hata kama umevaa msuli[emoji23][emoji23]