Lini Waafrica tutaachana na tamaduni hizi?

Lini Waafrica tutaachana na tamaduni hizi?

gstar

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
790
Reaction score
1,373
1. Kuvunja nazi njiapanda.

2. Kwa mama ntilie kupika chakula na maji yaliyooshea maiti / yaliyo tawaziwa.

3. Kuchukua watu misukule.

4. Kuwanga usiku.

5. Kufuga majini.

6. Kuhudhuria kwa waganga wa kienyeji.

7. Kugeuza watoto wetu mandondocha ili tupate utajiri.

8. Mwanamke kumlisha mumewe limbwata.

(Sidhani kama wazungu wana hizi mambo!)
Siku tukiacha hivi vitu ndipo tutakapo pata maendeleo ya kweli.
 
Nyie ndio wale wanaomini hata wazungu hawanyi wala kukojoa. Chief soma kila jamii duniani kote wana tamaduni zao na vitu vya asili hvyo ni vigumu kuisha mara mja ila vinapungua taratibu taratibu na kumbuka tamaduni moja ikifa uzaliwa tamaduni nyingine kuendana na nyakati
 
2. Kwa mama ntilie kupika chakula na maji yaliyo tawaziwa.
Hii inafanyika maeneo mengi sana alafu watu hawajui aseee daah especially maji waliyotawazwa watoto
 
1. Kuvunja nazi njiapanda.

2. Kwa mama ntilie kupika chakula na maji yaliyooshea maiti / yaliyo tawaziwa...
Hizo ni imani, mengine huwezi kuthibitisha iwepo wavyo.
 
Mungu awalaani dumuzi wote wala mbao, wanatia hasira sana
 
Wazungu walifanyawitch hunting miaka ya 1250 hadi 1300hivi watu waliuawa sana Kwa tuhuma za uchawi na hivyo uchawi ukapungua sana kama siyo kuisha,wenzetu Hawa sumbuliwi na uchawi kama hapa kwetu.
 
1. Kuvunja nazi njiapanda.

2. Kwa mama ntilie kupika chakula na maji yaliyooshea maiti / yaliyo tawaziwa.

3. Kuchukua watu misukule.

4. Kuwanga usiku.

5. Kufuga majini.

6. Kuhudhuria kwa waganga wa kienyeji.

7. Kugeuza watoto wetu mandondocha ili tupate utajiri.

8. Mwanamke kumlisha mumewe limbwata.

(Sidhani kama wazungu wana hizi mambo!)
Siku tukiacha hivi vitu ndipo tutakapo pata maendeleo ya kweli.
Huo ni ushirikina tu
 
Back
Top Bottom