Link za majina ya bodi ya mkopo (Loan allocation list) 2012/2013

hee mshapata wale wa ifm karibuni sebuleni kwetu club bilicanas..
 
mr. Naomba unichekie naitwa LILIAN HUBERT (duce) BA.Ed
 
Kwa hiyo una uhakika wa kuhudhuria Freshers Ball ?

Du?Umenikumbusha mbali sana maana enzi zetu kwanza kuna week 2 the orientation kwa 1st year.Tulikuwa tunapewa boom babu kubwa kama umetoka bush unanunua pamba kidogo mpya viatu n.k.weeeee siku hizi hiyo ipo?
 
Thax god coz n miongoni mwa nilionekana kwa board ya loans,,, haya kwa wale waliopata zote kama mm 2pongezane...... Bifu ctaki wana jf..................

oya niambie jns ya kujua ni aslimia ngapi?
 
Du?Umenikumbusha mbali sana maana enzi zetu kwanza kuna week 2 the orientation kwa 1st year.Tulikuwa tunapewa boom babu kubwa kama umetoka bush unanunua pamba kidogo mpya viatu n.k.weeeee siku hizi hiyo ipo?

Mkuu NYENJENKURU, usinikumbushe zile tv, radio aina ya sonny na simu ya siemens yenye antanae !!! Halafu unabaki kupiga......................................
 
Last edited by a moderator:
woi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nimechoka. sitaki presha wakuu
 
Hongereni.

Kumbukeni kutumia hela kwa malengo kusudiwa, kisha msikose kuzilipa ili wengine nao waweze kukopa.
Hivi wewe unawajuwa hawa watoto au unawasikia tu? hakuna mwenye wazo kwamba huo ni mkopo na ndio maana wanaliita boom.

Sasa wiki hii kwenye mabaa heshima hakuna kabisa mpaka watoto hawa wamalize hivi visenti waanze masomo. na kuna udhaifu mkubwa sana wa kimfumo bodi ya mikopo, kwa wale waliokopa mwanzoni na kama si watumishi wa Serikali ndio imetoka hiyo zile pesa hazitolipwa milele.
 
mkuu unacalculate vp kujua category yakooooooooo...........?
 
tafuta taratibu kuna link mbili tu ambazo zijaweka nazo najitahidi kuzitupia ..
2012/13 Allocation List 2 -A
2012/13 Allocation List 2 -B
 
Hivi kuna uwezekano wa kuappeal ili upate mkopo? maana wengine hawana uwezo hata kidogo wa kusomeshwa na familia zao lakini wamenyimwa mikopo!
 

Hata mie naona.Lugha yenyewe unaambiwa "nimelamba".

Hivi hizi pesa zinatolewa vipi? Naweza kuelewa kwamba zile za kujikimu inawezekana zikahitajika wapewe wanafunzi wenyewe, je, zile za kulipia ada nazo zinatolewa kwa wanafunzi au zinalipwa moja kwa moja?

Maana kupunguza ufujaji ingefaa zinazotakiwa kulipwa ada zilipwe moja kwa moja chuoni, na za kujikimu zitolewe kwa mwezi kwa direct deposit kama mshahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…