Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
kapimbi kaleKamezoea mbeleko ya Iniesta NA Xavi! Vinginevyo Hamna kitu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapimbi kaleKamezoea mbeleko ya Iniesta NA Xavi! Vinginevyo Hamna kitu!
Kamezoea mbeleko ya Iniesta NA Xavi! Vinginevyo Hamna kitu!
King of failure!!! Nesi katika ubora wa hopeless!
Haka kakwepa kodi inabidi kalambe tu matapishi maana hakuna jinsi nyingine ya kujaribu kusafisha taswira mbele ya jamii! Si unajua kalishafungwa hata kama ni kifungo cha nje! kifungo ni kifungo bila kujali aina ya kifungo!
Kinachomuuma Messi ni kuwa ameona mwenzake Ronaldo amebeba taji LA Euro cup akiwa NA timu ya taifa ya Ureno wakati yeye hana taji lolote la maana akiwa na timu ya Argentina! Hilo ndilo limemlazimisha arudi timu ya taifa ili abahatishe kombe la dunia 2018! Angekubali tu kuwa R7 ni habari nyingine!
Naona umeukalia sawasawa na kuukatikia juu. Zamaradi hawezi kukuita tena ili ujipe promo.Hizo shule ivi mlisomea ujinga sindio? Dume zima unaongea utumbo,
Naona umeukalia sawasawa na kuukatikia juu. Zamaradi hawezi kukuita tena ili ujipe promo.
Unawashwa washwa kumchonyo wewe!! Jipige hata vidole inaweza saidia lakini si kujilengesha kwangu, kinachokufanya kurukia ya watu nini kama si unatafuta kuingiziwa mdude tu.Wewe jamaa ulisomea matusi nini?amekukosea nini mpaka umtolee machafu... Wewe na mshkaji mmoja ivi MLALEO mmefanana sana..maana mkipewa ukweli mnakimbilia matusi au ndio hoja zenyewe siku hizi mzee?
Ukimponda huyo mfalme ujue ndio unamkubali,, uzuri wa huyu jamaa huitaji kuambiwa ukimuona tu moyoni unakubali ni hatari, sasa endelea kutukana watu... watu ka ninyi mods wangekua wanawapiga hata ban ya mwaka mzima.