JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee na CR7 effects kwenye clubs zote alizohamia baada ya kutoka Man U awamu ya kwanza
Kwa nini usiweke club moja tu ya sasa?Tuwekee na CR7 effects kwenye clubs zote alizohamia baada ya kutoka Man U awamu ya kwanza
Hajafikia level za Gaucho au JJ Okocha jinsi ya kusakata kabumbu.
😅 😅 😅Hajafikia level za Gaucho au JJ Okocha jinsi ya kusakata kabumbu.
Gaucho akiwa spain barcelona kpnd hicho aliwah kumwambia Marehem Kobe Bryant "Njoo nikuoneshe dogo atakaekuwa mchezaji mkubwa hapa duniani" akimaanishe Messi, enzi hizo gaucho anavaa 10 barca na messi ndio kinda kinda.Hajafikia level za Gaucho au JJ Okocha jinsi ya kusakata kabumbu.
Nakukumbusha,goli Moja lilikuwa la kichwa na Moja la mguuMessi level nyingine kila nkifikiliaga alipowapopoa man u magoli mawili traford tena kwa kutumia miguu yake yote.
We ilikua uefa alifunga moja kwa mguu wa kulia lingine kushoto nmesahau mwakanakukumbusha,goli Moja lilikuwa la kichwa na Moja la mguu