Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau
Zimekuwepo tetesi za muda kuwa 'Lionel Messi' anampango wa kurejea nyumbani. Taarifa hizi zimekanushwa na yeye mwenyewe aliyesema kuwa hana mpango wa kuhama kutoka katika klabu yake ya sasa ambayo ameitumikia kwa muda Mfupi Sana.
Hata hivyo taarifa kutoka vyanzo vya uhakika zinasema 'superstar 'huyo amedhamiria kuondoka na yupo katika hatua za mwisho kabisa kurejea ''Buenos Aires''.Kuondoka kwake kumecheleweshwa baada ya ''Wakala Mkuu' wa mchezaji huyo kuvujisha siri hiyo bila kudhamiria kutokana na furaha kubwa aliyokuwa nayo baada ya kupata ridhaa yake.'Mshambuliaji huyo mwenye haiba ya upole na ukimya ana sifa ya weledi mkubwa wa kupanga na kufanikisha mashambulizi dhidi ya Adui.Mchezaji huyo mara atakaporejea nyumbani atakabidhiwa kazi ya kuwa mshauri wa Kamati ya Ufundi.
Vyanzo makini makini vinasema ni suala la muda hivyo wapenzi wa ''soka'' wawe na subira.
Karibuni
Latest:
Taarifa Za Hivi Punde Zinasema Mchezaji Huyo Tayari Ameomba Asijumuishwe Kwenye Kinyang'anyiro Cha Tuzo Ya Uchezaji Bora. Ameomba Nafasi hiyo Apewe "C.R.7"
Zimekuwepo tetesi za muda kuwa 'Lionel Messi' anampango wa kurejea nyumbani. Taarifa hizi zimekanushwa na yeye mwenyewe aliyesema kuwa hana mpango wa kuhama kutoka katika klabu yake ya sasa ambayo ameitumikia kwa muda Mfupi Sana.
Hata hivyo taarifa kutoka vyanzo vya uhakika zinasema 'superstar 'huyo amedhamiria kuondoka na yupo katika hatua za mwisho kabisa kurejea ''Buenos Aires''.Kuondoka kwake kumecheleweshwa baada ya ''Wakala Mkuu' wa mchezaji huyo kuvujisha siri hiyo bila kudhamiria kutokana na furaha kubwa aliyokuwa nayo baada ya kupata ridhaa yake.'Mshambuliaji huyo mwenye haiba ya upole na ukimya ana sifa ya weledi mkubwa wa kupanga na kufanikisha mashambulizi dhidi ya Adui.Mchezaji huyo mara atakaporejea nyumbani atakabidhiwa kazi ya kuwa mshauri wa Kamati ya Ufundi.
Vyanzo makini makini vinasema ni suala la muda hivyo wapenzi wa ''soka'' wawe na subira.
Karibuni
Latest:
Taarifa Za Hivi Punde Zinasema Mchezaji Huyo Tayari Ameomba Asijumuishwe Kwenye Kinyang'anyiro Cha Tuzo Ya Uchezaji Bora. Ameomba Nafasi hiyo Apewe "C.R.7"