Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishasemaga toka meaka 2010 Messi alishashindikana dunia ya leo RONALDO BADO SANA KWA MESSIHongera sana Lionel Lapulga cuccitin Andres Messi. Kwenu sasa team Penaldo😀
Itakuwa za ndaaaniMbona muda bado ...
Kwann ,kilakitu kipowaziSiungi Mkono Hoja
Team CR7 waendelee kumwaga machozi tu hakuna namnaKwa mujibu wa mtandao wa hispania wa SPORT mwanasoka wa Argentina Lionel Messi atashinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or akimshinda mpinzani wake Erling Haaland.
Aidha kwa upande wa wanawake tuzo hiyo atashinda Aitana Bonmati.
View attachment 2784412
Kagandue kitambaa cha hedhi hiko kwanza halafu urudi uje kuandika kinachoeleweka dada'angu. Pia michuki hiyo isije ikasababisha siku zikapitilizaKuna mbuzi Moja inaabudiwa huko uarabuni Sasa hivi wanaivailisha Yale mahijabu ya kiume eti kuitangaza dini na kabila ndio kwisha habari yake hizo promotion wanazompa na kum dis mess hazivuki maji. Bwana midevu bwanaaa!!!