Lionel Messi ni mchezaji wa ajabu

Lionel Messi ni mchezaji wa ajabu

Mchezaji ninaemkubali zaidi duniani

Ni unpredictable kuanzia chenga zake hadi magoli yake

Ndio mchezaj ambae nimemshuhudia asieweza kuwekewa man marking na mchezaji mmoja

Yaani inahitajika team work ili azuilike na ukitaka kuamini hilo waulize mabeki na viungo wa Real Madrid waliowahi kucheza againt Messi.
 
Wabongo hawwpendi ukweli then wengi wajinga
Hivi huu ujinga wa kusema Ronaldo ana juhudi sio kipaji nani aliuanzisha?

Hebu jaribu na wewe kufanya juhudi tuone kama utakuwa kama Ronaldo.

Ronaldo ana kipaji cha mpira hilo halina shaka. Sema Messi ana kipaji zaidi ya Ronaldo.
 
Back
Top Bottom