Lionel Messi ni Mungu wa mpira ulimwenguni na Cristiano Ronaldo ni Lucifa wa mpira duniani

100%...ingawa sikumoja kidogo nipigwe na mashabiki Wa lucifa

Nadhani unaweza ukaona hapo Mungu wa mpira Lionel Messi ameketi na Shetani ' Lucifa ' wa mpira Christiano Ronaldo amepiga magoti anaomba msamaha.
 
Reactions: PNC
Acha kukufuru mkuu
Mungu mmoja tu na wala hana mfanano wake mkuu
 
Duuuh why hate somebody you barely know?
 
Mess hajawahi twaa Kombe la dunia. Mess alipewa tuzo ya mchezaji bora wa dunia badada ya aliyestahili Iniesta.

Mess anaweza kucheza maridadi akiwa Barcelonaila akiwa Argentina hatabiliki.

Zaidi ya yote Christiano ni mnyama wa Nyavu.
 
Ubora sawa ila umeandika kiushabiki zaidi au yawezekana mpira umefatilia matokeo ya mwisho ....
 
Tutakubishia vipi wakaty habary za kishoga hujua mashoga wenxie.. Let see ballon Dor atabeba nani
 
Ndiyo messi na Ronald naye anajua pia angalieni nani ktk kikosi chake anawatu wazuri wanao mchezesha na mastaa ktk club zao
 
Kumsifia Messi na Argentina yake bila kuona kazi kubwa iliyofanywa na peru bila kumsahau Brazil mkuu utakua unakosea sana japo sipingi ubora wa Messi katika karne hii ya mpira ....
Jikumbushe msimamo wa kundi lao kabla ya kumpa sifa zake na mwishowe ujiulize kazi ya Messi imesaidiwa na miguu ya mvaa jezi no 11 wao au roho mbaya kimtazamo ya wabrazil japo peru na colombia ndo wanastahili pongezi zangu ...
Ikumbukwe ikimtoa Brazil chile alikujimilikisha nafasi yake ya tatu na Messi akiwa wa 6 ,Peru wa tano na Colombia wa 4 ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…