Lionel Messi ni zaidi ya mchezaji japo naichukia Barcelona

Wale wabishi wabishi wa asili wenye kelele nyingi wakwapi? Wanaona aibu kujitokeza eti 🤣🤣😂😂😂Tena huko kwenu tunakuja kuwabomoa tena...hope next time Messi atawabamiza 3 or 4 goals.
 
ni bahati mbaya sana Arsenal uliyoitaja haikuchukua champions league, kilikuwa kizazi cha kipekee na ndio kilochonishawiahi nikawnza kuifuatilia ligi ya uingereza na kuwa shabiki wa arsenal!
 
ila mbona bado wazee wa miaka hiyo ya akina DELIMA hawaji na comments zao..ina naana wote humu ni kizazi cha messi na christiano...duh..kumbe wengi wachanga humu

Umejuwaje wote humu ni kizazi cha akina Messi? Mimi mmojawapo ni mtu mzima na nimewafuatilia LIVE wote hawa akina Zizu, Aimar, de lima, Batistuta, Gaucho, Requelme, Cambiasso, Damian Daf, Henry, JJ Okocha, Mustafa Hadji n.k...wote hawa na waliopita hakuna wa kumlinganisha na Messi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…