Mkuu Lionel Richie asifahamike kwao Marekani? Masihara hayo 😂😂😂Baada ya Commodores ku-hit big time Lionel Richie alienda kwenya dealership ya Mercedes Benz ili amnunulie kila member gari yake. Kufika pale na kujitambulisha muuza magari alikuwa anmshangaa anamuuliza umesema ni mwanamuziki wa band inaitwa 'commandos'? Richie akamwambia chukua hii namba ya governor wa bank of america mwambie Lionel Ritchie anataka kununua Benz hapa anaweza kulipa? Muuza magari kweli alipiga simu ila alibaki mdomo wazi baada ya governor kumwambia huyo ni nani!
HelloHiyo namba 3 bonge moja ya wimbo, harafu kuna nyingine kaimba inaitwa hello kuna binti mle kama kipofu harafu jamaa anampenda, ni noma
😁😁🤣🤣🤣 mkuu comment zako zinanivunja mbavu hahaha.
Unawajua wazungu wewe? Unafikiri USA ni kama Tz wote mnamjua Diamond sijui Kiba. USA a lot of people dont give a fcuk! Hiki niklicoandika Lionel Ritchie alisimulia mwenyewe kwenye Top Gear akihojiwa na Jeremy Clarkson.Mkuu Lionel Richie asifahamike kwao Marekani? Masihara hayo 😂😂😂
Ok mkuu, hiyo ilikuwa mwaka gani, maybe it was long time before he became a fame.Unawajua wazungu wewe? Unafikiri USA ni kama Tz wote mnamjua Diamond sijui Kiba. USA a lot of people dont give a fcuk! Hiki niklicoandika Lionel Ritchie alisimulia mwenyewe kwenye Top Gear akihojiwa na Jeremy Clarkson.
God was GodKuna nyimbo zake mbili hujazitaja hapo mkuu, hebu zitafute uzisikilize utakuja kuniambia..
1. Just for you
2. Only you (The only one)
1. My DestinyMwamba ni mjuzi wa kutunga nyimbo nzuri nzuri tu miaka yote.
They call it ,you call it ,I call it love... Bonge moja la. Ngoma. Halafu yule mwanadada aliyekuwa video vixen kwenye hiyo ngoma ni mwanae wa kuasili ...Hello,
I call it love,
Just go ft Akon.
Hatariii1. My Destiny
2. All Night Long (All Night)
3. Love Will Conquer All
4. You Are
5. Say You, Say Me
6. Dancing On The Ceiling
7. Running With The Nignt
8. Penny Lover
9. Hello
10. Ballerina Girl
11. Se La
12. Love Oh Love
13. Truly
14. Do lt To Me
15. Three Times A Lady
Mkuu umechanganya kidogo ambae alikua hamfahamu ni yule muuzaji wa magari kwenye ile car delership Lionel ndio alishangaa akamwambia mpigie simu ilikua Alabama nadhani kuwa awasiliane na LA's Bank of America President na si gavana...maana alikua anataka kununua Mercedes saba na anatakiwa awe na vielelezo(proof) muuzaji alianza kumwita Lionel Son baadae akamwita Mr LionelUnawajua wazungu wewe? Unafikiri USA ni kama Tz wote mnamjua Diamond sijui Kiba. USA a lot of people dont give a fcuk! Hiki niklicoandika Lionel Ritchie alisimulia mwenyewe kwenye Top Gear akihojiwa na Jeremy Clarkson.
Ebwana thread zako huwa zinanigusa sana, mpaka mara nyingi huwa nakuja huku kuchungulia kama kuna chochote kipya ulichotuletea wana JF wenzako.Habari ya mchana huu wakuu, leo nimekuja na historia ya huyu mwamba na mtawala wa aina mbali mbali za miziki laini, yan ile inayogusa mioyo ya mamilioni ya wapenzi wa miziki hapa duniani.
Aina hizo za miziki ni funk, soul, rhythm, blues and country.
Anaitwa Lionel Brockman Richie Jr (born June 20, 1949) huko Alabama, USA.
Lionel Richie ni miongoni mwa wasanii walioanza kuimba wakiwa na umri mdogo kabisa, ambapo yey alianza kujishughulisha na mziki akiwa na umri wa miaka 12 tu, na ni miongoni mwa waimbaji wenye kipaji cha uimbaji na utungaji.
Lionel Richie ana sauti ya pekee ambayo inaweza kumgusa mtu yoyote moyoni hata kama kile anachoimba haukielewi.
Ni mmoja kati ya wasanii wachache waliofanikiwa kuteka akili, na kugusa mioyo ya mamilioni ya watu mbali mbali duniani kutokana na ubora wa nyimbo zake, umaridadi wake, sauti yake na pia aina ya uimbaji wake.
Mnamo miaka ya 1985s Lionel Richie ndio alimshauri Michael Jackson kutunga ule wimbo wa "We Are the World" ili fedha zitakazopatikana katika wimbo ule ziweze kusaidia watoto wenye matatizo mbali mbali duniani kama vile yatima, wagonjwa na wale wenye uhitaji wa msaada.
Baadhi ya vibao vyake kati ya vyote vilivyo bora ni 👇
1) Endless love ft Diana Ross.
2) Ballerina girl.
3) Stuck on you.
4) Say you, Say me.
5) All Night Long.
6) We Are the World & Michael Jackson na wengine.
Kwa wale wazee wa miziki laini, nafikiri mnamjua vizuri mwamba huyu kwa sauti na uimbaji wake.
Kazi yake kubwa ni muimbaji, muandikaji wa nyimbo mbali mbali na ni mtungaji mahiri sana.
Karibuni wakuu tujadili na mengine mnayoyajua kumhusu mwamba huyu wa soft songs.
Nimechanganya president na governor, okay. Niliangalia top gear a while ago.Mkuu umechanganya kidogo ambae alikua hamfahamu ni yule muuzaji wa magari kwenye ile car delership Lionel ndio alishangaa akamwambia mpigie simu ilikua Alabama nadhani kuwa awasiliane na LA's Bank of America President na si gavana...maana alikua anataka kununua Mercedes saba na anatakiwa awe na vielelezo(proof) muuzaji alianza kumwita Lionel Son baadae akamwita Mr Lionel
Shukran zangu zikufikie popote ulipo mkuu.1. My Destiny
2. All Night Long (All Night)
3. Love Will Conquer All
4. You Are
5. Say You, Say Me
6. Dancing On The Ceiling
7. Running With The Nignt
8. Penny Lover
9. Hello
10. Ballerina Girl
11. Se La
12. Love Oh Love
13. Truly
14. Do lt To Me
15. Three Times A Lady
Shukran mkuu kwa ufafanuzi huu 🙏Mkuu umechanganya kidogo ambae alikua hamfahamu ni yule muuzaji wa magari kwenye ile car delership Lionel ndio alishangaa akamwambia mpigie simu ilikua Alabama nadhani kuwa awasiliane na LA's Bank of America President na si gavana...maana alikua anataka kununua Mercedes saba na anatakiwa awe na vielelezo(proof) muuzaji alianza kumwita Lionel Son baadae akamwita Mr Lionel